Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Kumbe michango yetu inasomwa mpaka sentlo na ikulu,haya ngoja nitume salam kwa wakulu woote mlio sentlo na pale ikulu vipi familia zenu zinaendeleaje,?.Hebu tuelezeni lengo lenu hasa nini,whats your end game?,hivi roho zenu haziwasuti mnavyo watenda wenzenu ndivyo sivyo?au mnadhani mtaishi milele,haya nyie endeleeni tu.ila kumbukeni walikuwapo ma bwanawakubwa kibao enzi hizo na wakawahenyesga watu vya kutosha,leo wako wapiii.yuko wapi hitler,franco,musolini,savimbi na wengineo.endeleeni tu
 

Malaika anaongea kisukuma teh teh teh vituko vya hawamu ya vituko
 
Jamani tupeni updates

Mod jitahidin kutupa taarifa rasmi kwa wakati sahihi

JF ni kimbilio la wengi wasio na sauti (at least ilikuwa hivyo)
 
Huu ujumbe utafutwa muda si mrefu!

Tukisema kuna watu elimu zao hazitoshi mtatuambia sisi ni wachochezi au tunajidai! Nilishasema na nasema tena kuwa kati ya idara zinazotakiwa kuwa na watu wa kila aina hasa katika dunia ya sasa ya sayansi na teknolojia, wakiwemo wataalamu waliobobea katika fani za kijasusi ukiwemo ujasusi wa kiteknolojia ni Idara ya Polisi/Usalama wa Taifa. Ujasusi huu sio tu kuvizia na kukamata data za watu wanaopingana na serikali au kufanya makosa mbalimbali kwa njia ya mtandao bali ni pamoja na kuiba teknolojia (hasa soft technology), siri, mbinu na maarifa mbalimbali kutoka watu au mataifa mengine ulimwenguni. Usitegemee kuendelea kwa kujifunza tu na kwamba ipo siku utawakamata wenzako ambao wako mbali kutoka kwako mamilioni ya kilometers bila kutafuta mbinu za kuiba maarifa yao.

Je, ni kweli polisi wameshindwa kabisa kuhack servers za JF kiasi cha kuamua kumkamata jamaa "red-handed" ili awape data za watumiajia wa jf wanaowatafuta kwa mkono wake, au awape logins waingie na kupekua?

Je, kama hamuwezi kuhack server kwa nini msikodishe wataalamu, "hackers" waliojaa kila kona ya dunia? Hao jamaa ukiwaahidi hela hawafanyi makosa, ni asubuhi wanakupakulia database za jf: majina, ip addresses, user log files, geographical locations na info zingine muhimu.

Nendeni deep web, watu wanashindana kuhack sites kama vile kubet au kushangilia soccer la ligi za England! Au kodisheni makampuni kama vile Cellebrite - mamafia ya Kiisrael ambayo yamebobea kuhack, kuanzia simu mpaka kitu chochote ambacho ni connected na web.

See more: 10 Best Hackers The World Has Ever Known.

Hakuna profession tamu kama hacking!
 
Kinachonishangaza ni pale matusi kashifa dharau kejeli zinapofanywa na viongozi kuanzia Ikulu mpaka kwa wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri kwa wananchi lakini wao hawapendi kuambiwa kitu
 
Kwa nchi ambayo hata rais ni kituko ni lazima mambo meng yashangaze
Halafu bado mnadhani mtaendelea kujificha kwa anuani bandia, kwa upuuzi kama huu,! Unaposhindwa kumheshimu rais wa Nchi yako unayeweza kumpa heshima ni nani ? Katika maisha yako??
Biblia inasema tiini mamlaka iliyo kuu sabbu hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. !!! Halafu kwa kebehi na dharau zenu mnataka Nchii iendelee kuwaangalia tu,! Kwa kisingizio cha uhuru wa maoni na kukosoa.!
Haiwezekani na halitawezekana.
 
Wewe unaonekana exposure ni zero minus,hujui hata mwelekeo wa dunia
 
Hawawezi kukuelewa sabbu wanalipwa kwa propaganda zao za kipuuzi na wanajifanya kama sio raia wa Nchi hii.
 
Sio rahisi sana kuki kimbia kivuli chako,! Hakuna anayemtisha kama alichokidhamilia ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…