Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataonewa hawa Dagaa. FB huezi wafungia hata kwa sekunde 2Hivi haujui kama serikali inaweza kuzuia facebook,instagram,etc... kutokuwa hewani kwenye ardhi ya Tanzania sembuse ije iwe jf?
Naona sasa malaika kashaanza kushushwa kuifungia mitandao ya kijamii.
Iwa hao malaika na aliewatuma afahamu kuwa ni ngumu sana kuzuia mafuriko kwa mkono.
Nao hao malaika wanahitaji pia social media kusemea mema yao.
Yanamwisho.. ila huwezi zuia mafuriko kwa kutumia kiganja cha mkono.
Kusema/kunenaKubwabwaja ndio kufanyaje?
Halafu bado mnadhani mtaendelea kujificha kwa anuani bandia, kwa upuuzi kama huu,! Unaposhindwa kumheshimu rais wa Nchi yako unayeweza kumpa heshima ni nani ? Katika maisha yako??Kwa nchi ambayo hata rais ni kituko ni lazima mambo meng yashangaze
Wajinga sana. Wamepanga kuifunga.Naona wanazidi kuipa umaarufu JF..
AiseeWajinga sana. Wamepanga kuifunga.
Sisi members tupaze sauti kukemea uonevu huu!
Wewe unaonekana exposure ni zero minus,hujui hata mwelekeo wa duniaHalafu bado mnadhani mtaendelea kujificha kwa anuani bandia, kwa upuuzi kama huu,! Unaposhindwa kumheshimu rais wa Nchi yako unayeweza kumpa heshima ni nani ? Katika maisha yako??
Biblia inasema tiini mamlaka iliyo kuu sabbu hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. !!! Halafu kwa kebehi na dharau zenu mnataka Nchii iendelee kuwaangalia tu,! Kwa kisingizio cha uhuru wa maoni na kukosoa.!
Haiwezekani na halitawezekana.
Hawawezi kukuelewa sabbu wanalipwa kwa propaganda zao za kipuuzi na wanajifanya kama sio raia wa Nchi hii.- Ok tatizo ni kwamba Wanasiasa wetu nao wanatuvuruga sana kwa mfano USA hivi karibuni Uchaguzi umeisha Mama Clinton kampigia simu Trump kumpongeza kwa ushindi, na siku tatu baadaye Mama Clinton kakubali mbele ya umma kwamba kashindwa na kuwataka wananchi wajiunge nyuma ya Trump kwa masilahi ya Taifa case closed.
- Sisi unajua sihitaji hata kurudia ni huzuni tupu, mgombea aliyeshindwa eti anataka kufanya ziara ya kuwashukuru wananchi kwa kushindwa haijawahi kutokea Duniani, sasa for that unataka Mtawala mpya afanye nini? WATanzania wote tufike mahali tubadilike kwa manufaa ya Taifa,
le Mutuz
Sio rahisi sana kuki kimbia kivuli chako,! Hakuna anayemtisha kama alichokidhamilia ni sahihi.QUOTE]
Sasa kwanini unamtisha binadamu mwenzako hivyo?! Alichosema Nyaluhusa87 kwani hiyo wish ya kwamba malaika waje wafungie mitandao mpaka maendeleo yatakapofanywa haijawahi kusemwa in public?!
Tena unamtishia mwenzako na familia yake kabisa! Muogopeni Mungu jamani!!!!