Hata mimi mwenyewe nilijiuliza ina maana wale wanaowakamataga huko facebook huwa wanawakamata kwa msaada wa Mark Zuckeberg kuwapa taarifa au? na kama jibu ni hapana wanawapataje taarifa zao hadi kufanikiwa kuwakamata!!?Natafta majibu lakini mpaka muda huu hayajakamilika ndio maana najiuliza hivi ni jamiiforums pekee ndo yakutoa access ya server? Vipi mitandao mengine kama facebook, twitter na instagram, mbona wamiliki hawajakamatwa watoe access za server za mitandao yao ?
Fb watu wengi wanatumia majina yao na hata wakitunia tofauti kuna ule ujinga wa kufrendiana hadi na unaojuana nao ndo maana ni rahisi kumpata muhusika.Hata mimi mwenyewe nilijiuliza ina maana wale wanaowakamataga huko facebook huwa wanawakamata kwa msaada wa Mark Zuckeberg kuwapa taarifa au? na kama jibu ni hapana wanawapataje taarifa zao hadi kufanikiwa kuwakamata!!?
nadhani kuna sababu ya ziada tusioijua
kupitia namba zao za simuHata mimi mwenyewe nilijiuliza ina maana wale wanaowakamataga huko facebook huwa wanawakamata kwa msaada wa Mark Zuckeberg kuwapa taarifa au? na kama jibu ni hapana wanawapataje taarifa zao hadi kufanikiwa kuwakamata!!?
nadhani kuna sababu ya ziada tusioijua
Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Wanalinda Tabaka tawala sio tawaliwa. Ref the dogs in the book of the animal farm....Kama sisi tunahoji kwa nini sisi tusihojiwe? Polisi ni chombo cha usalama.
kuna watu humu utadhani wana tenda ya kuchafua serikali kila siku wanazusha hili na lile.Mimi naona ingekuwa ni ubora zaidi kila anaeleta hoja humu au habari yoyote muhimu aweke link ni wapi amepata habari hizo,kama hana link
wala uhakika wa habari zake basi ni bora azihifadhi mwenyewe.Asanteni
watakupata kupitia kifaa chako cha electronic unachotumia inaweza kuwa smartphone,computer,tablet uki log in tu unaoo
Ha ha haaa nitaingia ndani ndani kabisa ilangara bukonyo watafika kweli ?Watakuja kukuchukua hapo Nansio!
device itakayoonekana umeitumia mara nyingi zaid ndiyo utanaswa nayoSasa kama naingia jamiiforum nikiwa sehemu tofauti tofauti kila siku je ?
Hao 40% wa jf ambao ni diaspora wako wapi, nimewatafuta hapaKwani JF members wote tz! Zaidi ya 40% ya members humu ni diaspora.
Haki yetu kuongeakuna watu humu utadhani wana tenda ya kuchafua serikali kila siku wanazusha hili na lile.