Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisheria hilo ni kosaKwa kosa la kuwanyima polisi maelezo binafsi ya members wa Jf .
Sasa naelewa haya yanayoendelea kama serikali inamawazo kama uliyo nayo. Naona giza tupu mbele.Hiyo ni kinadharia kwamba ninyi ndio wenye nchi lkn kiuhalisia hakuna kitu kama hicho Dunia hii!
Uko Bombambili au Mfaranyaki? Kufika Dar kesho itakuwa shida. Jamaa akitaka atulipie nauli tu.Kama mimi nipo huku Songea. Hata ATCL haileti ndege. Itakuwa ngumu kufika
Unajua RAFIKI yangu hata Jammeh raisi wa Gambia walimwambia kuwa kuna siku utaondoka lkn yeye alikataa akasema ataitawala Gambia miaka bilioni 1 lkn zilipotimu unajua kilichotokea. Hivyo makaburi yatakuja kufukuliwa hata kizazi cha 4 kujibu tuhuma.Hilo ni chaguo lake kama anataka kugeuka Mwanamapinduzi kwa ajili ya watu ambao wanasema watakuwa naye kiroho ni yeye tu ndo anapaswa kuamua, lkn maisha yamenifundisha mengi khs binadamu kwamba mwisho wa siku hakuna anayejali na utakuwa mwenyewe, lema ni mfano mzuri ukiondoa familia yake hakuna anayekosa usingizi kwa ajili yake hata Mbowe au Lowasa hawajakanyaga Arusha hata Tundu lisu ambaye ni Mwanasheria hajakanyaga Arusha kwa ajili ya Lema!
Hiyo ni kinadharia kwamba ninyi ndio wenye nchi lkn kiuhalisia hakuna kitu kama hicho Dunia hii!
Mkuu jifanye kama hakumbuki ahadi zake inachotakiwa hapa useme wanafunzi wote walioomba mikopo ya elimu ya juu wamepata hakuna hata mmoja aliyekosa. Haya ndiyo maneno wanayotamka lizabon na wenzie hivyo wana uhakika na usalama waoMkuu kwenye kampeni maghufuli alisema hakuna mwanafunzi aliye na sifa atakosa mkopo na hilo alilitamka dodoma, lakini mbona kafanya kinyume? Je huoni kwa hata yeye Mwenyewe anakichanganya?
Itabidi tupige umbea celebrities tu sasa,hakuna namna tena.Ni kweli kaka
Nyie kila kitu ni kuchanga tu. Umejuaje kama jamaa hana hela ya kuweka huyo wakili? Mtu anamiliki JF atakosa hela ya wakili?Aisee tuchange hela kwa ajili ya kumuwekea Wakili mzuri
Hahaaaa duuu mi nilifikiri una miaka mitatu miwili kumbe wiki daaa unanikumbusha mbaali hadithi ya tai aliyekuwa akifukuwa akifuzwa na adui kuona anakaribia kukamatwa akachimba kashimo kadogo kwenye mchanga na kuacha mwili woote nje huku akijua haonekani.Mimi mwenyewe nilizisoma alama za nyakati nina wiki sijagusa siasa kabisa.
Thanks to my bae kwa kunikeep busy,saa hizi ningekuwa ktk hofu kubwa sana.
Siasa kwa sasa tuziache,hali ni mbaya.