Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Mjinga ni aliyetoa taarifa chonganishi bila kuweka ushahidi,na yule aliyemuamini ni mjinga zaidi...lakini Kama ni kweli,kwa nini asipewe ulinzi ikiwa Kuna kikundu kinaamini haya ambayo mtoa mada kayasema!!?...
 
Huu ni uongo.kwamba akifa basi Leo pale JKIC na kazi zimekufa?
Replacement YAKE siyo ya kitoto mkuu!,/ mitihani yao wanafanyaga 100 wanaofaulu kwa usahihi wa 100% ni wawili tu, wengine hurudia HATA Mara 20 ili ulkuachieve ustadi.
 
""NOTA BENE::/""
THREAD HII NI YA KIHISIA TU NA ISIPEWE UMAKINI WA AINA YOYOTE HIZI NI HISIA TU BAADA YA WATU KUSHIBA UGALI WA DONA KWA MAHARAGWE IGNORE THIS NONSENSIBLE BLISS.
 
Usituaminishe utahaahira wako .......hata wewe ni MTU muhimu mno na kutengeneza MTU kama wewe ni gharama Sana japo ni tahahira...........wewe endelea na puchu zako ukadhani kuna kitu utagundua ......zaidi ya kujiona huna thamani
Kuna wenye vipawa zaidi kiustadi kwa maarifa nyeti elewa hapo kwanza
 
kwamba? mbona moyo umenishtuka ghafla R.i.p. JPM mleta uzi ebu elezea ulinzi upi wa mabaka au upi? ni daktari pekee bingwa wa moyo Tz? basi sio vibaya akalindwa.
 
Wacha alindwe unataka wale kichwa kama Ngowi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…