Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Janabi huyu anayetuambia tusile maharage,tusile matunda,tusinywe maji,tusile nyama,tusile ugali,tusile ubwabwa,tusile hiki,tusile kile!!!
He is a nutty professor
Sasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?Kile ni kifaa kwa namna ya uelewa wangu alifaa kuwa waziri wa afya. Apewe tu ulinzi ni haki yake.
Ukishawaingiza wale tu page itasogea hahahaJamaa ni overrated!! Na kwakuwa wana jf wanapenda mada kama hizi basi uzi utaenda pages za kutosha bila hata ushahidi wa picha
Professor Philemon SarungiSasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?
Nitajie daktari bingwa unayemjuwa anayeacha field yake kwenda kwenye hizi siasa uchwara au hata kuteuliwa huko.
Profesa Sarungi ni daktari lakini hakuwahi kuwa tegemeo la Moi.Professor Philemon Sarungi
Fungua uzi mkuu wa Dr Shaba tupate kujua vzr huyo DrSasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?
Nitajie daktari bingwa unayemjuwa anayeacha field yake kwenda kwenye hizi siasa uchwara au hata kuteuliwa huko.
Fuatilia vizuri historia ya mtu anayeitwa Profesa Shaba Nyerere aliwaomba Waingereza wamuache Prof Shaba arudi Tanzania kuja kusaidia Taifa lake lakini Waingereza walimuahidi kumpa Nyerere madaktari watano kumreplace Profesa Shaba lakini Nyerere alikataa hatimaye Profesa Shaba ilibidi arudi Tanzania kulitumikia Taifa.
utakuwa mtoto mdogo we jamaa .Profesa Sarungi ni daktari lakini hakuwahi kuwa tegemeo la Moi.
Ni kina Kigwangwalla tu hao.
Kabla ya kuwa daktari wa Kikwete, alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia. Kikwete alimuopoa huko alipopata uraisi. Ikumbukwe kuwa yeye ndiye muasisi kufanyika kwa operation za moyo TZ na tangu aanze hiyo kazi ame"save" matrilioni ya shilingi. We may not know him, he may not seem important but the institution he leads has reduced international flight of money in the name of getting treatment abroad due to such treat not being available in TZ. Actually we are reaping a lot from 0our neighbors in terms of medical services...heart diseases.Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu ikulu. Lkn pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Wewe huelewi nini? Insinuation ni kuwa ametumika, kuondoa adui na sasa marafiki wa adui wanamtafuta kulipiza.Kwa hiyo kuwatibu ma Raisi ndio anapewa Ulinzi ?
Alikuwa akidanganya watanzania eti tumgemee Mungu wakati yeye analindwa na mibunduki utasema nchi iko vitani.Jiwe alikuwa na ulinzi mkali wa maaskari wenye ak 47 na helikopta angani huko, yuko wapi?
Fununu huanza kama tetesi.. Intelijensia imeshahisi jamboNimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.
Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa siku hizi lazima uchunguzwe kwanza na kwa masharti lukuki na kama hutokidhi matakwa nakuhakikishia utamsikia Janabi radioni.
Iweje leo na kwa siku za hivi karibuni mtu asiye kiongozi kulindwa namna ile?!?
😂😂😂😂😂Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Una ufahamu na uwezo mdogo kukumbuka mamboSasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?
Nitajie daktari bingwa unayemjuwa anayeacha field yake kwenda kwenye hizi siasa uchwara au hata kuteuliwa huko.
Fuatilia vizuri historia ya mtu anayeitwa Profesa Shaba Nyerere aliwaomba Waingereza wamuache Prof Shaba arudi Tanzania kuja kusaidia Taifa lake lakini Waingereza walimuahidi kumpa Nyerere madaktari watano kumreplace Profesa Shaba lakini Nyerere alikataa hatimaye Profesa Shaba ilibidi arudi Tanzania kulitumikia Taifa.
Jiwe alikuwa na ulinzi mkali wa maaskari wenye ak 47 na helikopta angani huko, yuko wapi?
Alikuwa akidanganya watanzania eti tumgemee Mungu wakati yeye analindwa na mibunduki utasema nchi iko vitani.
Sisi hatuna shida naye, aturudishie ile betri tu basiNdie mchomoa betri lazima ahakikishiwe ulinzi,malipo hapa hapa duniani,watu wanamlia timing na yeye.