Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof shaba ndio yule alihusika kwenye post mortem ya moringe sokoine?Sasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope....
Isije kuwa ndie alimuondoe yuleSawa!!lakini iweje leo ndio awekewe ulinzi wote ule, mbona miaka yote ile haikuwa hivyo?!!
Huyu Dr alihusika kukava kifo cha moringeFungua uzi mkuu wa Dr Shaba tupate kujua vzr huyo Dr
Nakumbuka Dr wa Mwl Nyerere na viongozi wengine alikuwa anapuyanga mitaani mwenyewe tu...mara nyingi nilikuwa namwona mitaa ya posta Dar posta akiwa peke yake kabisa!Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu Ikulu. Lakini pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Mkitetea kwa nguvu namna hii, mashaka ndio yanazidi!Kabla ya kuwa daktari wa Kikwete, alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia. Kikwete alimuopoa huko alipopata uraisi. Ikumbukwe kuwa yeye ndiye muasisi kufanyika kwa operation za moyo TZ na tangu aanze hiyo kazi ame"save" matrilioni ya shilingi...
Ila Jiwe alikua ana mkwara sana!Jiwe alikuwa na ulinzi mkali wa maaskari wenye ak 47 na helikopta angani huko, yuko wapi?
hujamsoma au hukujua code aliyopewa? Dr wa mchongo na dawa za ujanja ujanja. Kasome tena kwa kutuliaKwenye code za yoga sija msoma
Lingine lipi wewe?Kuhudumia marais ndio sifa ya kulindwa sana au kuna lingine?
😁😄😃😀😆😁😄Bongo Michongo Telehujamsoma au hukujua code aliyopewa? Dr wa mchongo na dawa za ujanja ujanja. Kasome tena kwa kutulia
hujamsoma au hukujua code aliyopewa? Dr wa mchongo na dawa za ujanja ujanja. Kasome tena kwa kutulia
Kwa hiyo akistaafu au kufa ndiyo unakuwa mwisho wa Taasisi ya Moyo???Kabla ya kuwa daktari wa Kikwete, alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia. Kikwete alimuopoa huko alipopata uraisi. Ikumbukwe kuwa yeye ndiye muasisi kufanyika kwa operation za moyo TZ na tangu aanze hiyo kazi ame"save" matrilioni ya shilingi. We may not know him, he may not seem important but the institution he leads has reduced international flight of money in the name of getting treatment abroad due to such treat not being available in TZ. Actually we are reaping a lot from 0our neighbors in terms of medical services...heart diseases.
Halafu Janabi anaalikwa kufuturu anaonekana kakikalia kisinia, haahaa haaJanabi huyu anayetuambia tusile maharage, tusile matunda, tusinywe maji, tusile nyama, tusile ugali, tusile ubwabwa, tusile hiki, tusile kile!!!
He is a nutty professor
Dkt. Hussein Mwinyi ni daktari bingwa wa macho. kaacha kaenda kuwa waziri pia raisSasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope...
Viongozi wa siri au wawazi wanapaswa kulindwa sanaNimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.
Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa siku hizi lazima uchunguzwe kwanza na kwa masharti lukuki na kama hutokidhi matakwa nakuhakikishia utamsikia Janabi radioni.
Iweje leo na kwa siku za hivi karibuni mtu asiye kiongozi kulindwa namna ile?!?
Heading yako inasema mkurugenzi mtendaji halafu content inauliza iweje alindwe na sio kiongozi, ukurugenzi utendaji sio uongozi?Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao...
Aje atibiwe na prof... [emoji1787]Na Lissu anaomba ahakikishiwe usalama wake