Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Vipi kuhusu yule aliokufa kwa kuangukiwa na kontena juzi huko Mlandizi yeye hakuwa muhimu? ukiona mtu anawekewa kipenyo ujue kuna ishu hapo kipindi cha jiwe hadi wakurugenzi wa halmashauri walikua na vipenyo.
 
Kabla ya kuwa daktari wa Kikwete, alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia. Kikwete alimuopoa huko alipopata uraisi. Ikumbukwe kuwa yeye ndiye muasisi kufanyika kwa operation za moyo TZ na tangu aanze hiyo kazi ame"save" matrilioni ya shilingi. We may not know him, he may not seem important but the institution he leads has reduced international flight of money in the name of getting treatment abroad due to such treat not being available in TZ. Actually we are reaping a lot from 0our neighbors in terms of medical services...heart diseases.
Umemsahau DOCTA MASAU aliyekuwa anategemewa huko marekani akaamua kurudi nyumbani?
 
Umemsahau DOCTA MASAU aliyekuwa anategemewa huko marekani akaamua kurudi nyumbani?
Hiv huwa wanawaza nini kurudi TZ.? Au wanakuwa wamefukuzwa huko?
Labda kama wawe wanarud kuja kufanya personal projects ila kuitumikia serikali, Noooooo!!siwezi fanya huo ujinga..
 
Usituaminishe utahaahira wako .......hata wewe ni MTU muhimu mno na kutengeneza MTU kama wewe ni gharama Sana japo ni tahahira...........wewe endelea na puchu zako ukadhani kuna kitu utagundua ......zaidi ya kujiona huna thamani
Ujinga wa watu weusi kumtegemea mtu mmoja badaka ya ku invest kwa wengine ili kutengeneza proffesional wengine kama yy na zaid yake..Sasa huyo Janab akifa ndio hiyo taasis itakuabimefika kikomo au?
 
Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.

Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa siku hizi lazima uchunguzwe kwanza na kwa masharti lukuki na kama hutokidhi matakwa nakuhakikishia utamsikia Janabi radioni.

Iweje leo na kwa siku za hivi karibuni mtu asiye kiongozi kulindwa namna ile?!?
Wakati wakimlinda huyo Janaba wanawaacha wasomi muhimu kina Ngowi wakiangukiwa na makontena!
 
Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu Ikulu. Lakini pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Ila Proffesa Ngowi yeye hakuwa mtu muhimu kwa nchi hii?

Je maprofesa wote na madaktari wa wakubwa nchi hii wanapewa huo ulinzi?

Wacha alindwe ila iko siku ya Mungu kutenda haki itafika tu.
 
Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu Ikulu. Lakini pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Kweli sio mtu mdogo anayajua mengi kuhusu Mzoga na ubaya wake kwa jamii ya wanyonge wa nchi hii.
 
Janabi huyu anayetuambia tusile maharage, tusile matunda, tusinywe maji, tusile nyama, tusile ugali, tusile ubwabwa, tusile hiki, tusile kile!!!

He is a nutty professor
Duh, Imehama tusinywe Bia,tusinywe Soda ...Sasa hata Maji yana Madhara... madaktari Mungu anawaona..!
 
Janabi huyu anayetuambia tusile maharage, tusile matunda, tusinywe maji, tusile nyama, tusile ugali, tusile ubwabwa, tusile hiki, tusile kile!!!

He is a nutty professor
Hii comment yako imenifanya nitafute kiundani

===
Daa ulaji wetu ni tatizo kwa kweli. Tujichunguze na kujirekebisha!
===
Prof. yupo makini sana!
===
Kwa wakati wako hakikisha unamsikiliza mwanzo mwisho, Hakika Elimu kubwa utapata👇
Code:
youtube.com/watch?v=yJp4tQxq8uI
 
Back
Top Bottom