Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Ukiona hivyo ujue msukuma mjukuu wangu.Kabila limeingiaje sasa hapo?
Kila akiniona lazima awe mpole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo ujue msukuma mjukuu wangu.Kabila limeingiaje sasa hapo?
Mkuu kwa hilo la utunzaji nakubaliana nawe 100%. Ila vitu kama maji si vya kuzuia kabisa, na hata wakizuia waviuze kwa bei ya soko, hao abiria wengi wao ni akina sisi pangu pakavu.Mkuu mimi sijaleta ujuaji.
Naandika kwa msisitizo tukubali tukatae Tanzania raia tunapenda sana kulalamika tena saaanaaaa.
Kama huwezi kupanda SGR panda mgr diesel deluxe locomotive.
Katika hivyo vitu kuna jambo la kulalamika mkuu!??
Zote ni trivial complains.
Mambo madogo kulalamika aisee watanzania tuna safari ndefu sana.
Punguzeni kulalamika.
Halafu pia sisi sio watunzaji wa miundombinu hata uchembe.
Kama isipowekwa sheria za udhibiti miundombinu itachakaa mapema hutoamini.
Nilisafiri juzi tu hapa kurudi Dar kutoka Morogoro,sehemu ya kuwekea vitu kile kimeza cha mbele ya kiti mtu anafosi aweke pale mtoto ambadilishe pampers!!
Ushaambiwa pale kisikae kitu kizito na hadi kutangaza wanatangaza.
Mtu ana tissue kamaliza kula haitoshi anapangusa kwa kiti.
Punguzeni kulalamika kwa mambo yasiyo na tija mkuu.
😂🤣🤣🤣Waliwahi kua na akili wapi?
Shangazi kaja halitoshi ile sehemu ya kuwekea mizigo unaweka hatarini maisha ya abiria aliyechini...Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Wajinga sanaKwenye kuzuia maji wamedhihirisha ujinga wa kiwango cha lami. Ipo siku watazuia hata vidonge kwa wagonjwa.
Taasisi Ona wasemajiKinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Baadae muanze kulalamika wizi 👀👂Punguza ujuaji, sisi watu weusi tuna matatizo. Hizi treni hata huko kwa wenzetu wamachinga wanaingia kuuzia abiria vitu.
Nilikuwa napinga hoja ya kuingia na naji ya kunywa na hiyo mibegi mikubwa. Naamini hayo mabehewa yana kamera za kutosha na mwizi akibainika lazima adhabu yake iwe kubwa.Baadae muanze kulalamika wizi 👀👂
TRC ni mojawapo wa wadau wa JF natumai watakuja na majibu harakaKinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Nani kakuambia mabegi ya shangazikaja ni makubwa tu! Mbona treni yao ya reli ya kati hakuna vizuizi vya vitu hivyo na hakujawahi kutokea milipuko ya kigaidi, watanzania tukatae kufugwa kama kondoo.Nilikuwa napinga hoja ya kuingia na naji ya kunywa na hiyo mibegi mikubwa. Naamini hayo mabehewa yana kamera za kutosha na mwizi akibainika lazima adhabu yake iwe kubwa.
Konyagi ina madhara gani kwenye mwendo wa hiyo SGR?Ananunua maji anakunywa nusu then anajaza konyagi ndogo, TRC wapo sahihi kwa hilo hata mimi shahidi
Ninapinga SGR kuzuia watu kuingia na mabegi ya shangazi kaja na maji ya kunywa, pengine hujanielewa tu. Hata likiwa kubwa kuzuia ni ulimbukeni tu. Yaani hizo treni tumezichukulia kama kitu cha kipekee sana na kuweka masharti kibao. Abiria wenyewe kwa asilimia kubwa ni sisi hawa hawa tunaotumia mabasi kila siku.Nani kakuambia mabegi ya shangazikaja ni makubwa tu! Mbona treni yao ya reli ya kati hakuna vizuizi vya vitu hivyo na hakujawahi kutokea milipuko ya kigaidi, watanzania tukatae kufugwa kama kondoo.
Msamehe huyo juha, hajui kuwa pombe zinauzwa ndani ya treni kwa sababu hajawahi kupanda treni, angejua treni ndio usafiri wa sterehe kuliko ndege asingesema hayo.Konyagi ina madhara gani kwenye mwendo wa hiyo SGR?
Mtu akinywa pombe Kwa starehe zake kuna shida gani?Ananunua maji anakunywa nusu then anajaza konyagi ndogo, TRC wapo sahihi kwa hilo hata mimi shahidi
Si wapime kama pombe wakataeShida watu wanaingia na konyagi badala ya maji
Si zingine tu, hizohizo za TRC na hata hiyo inazo bia. Achana na hao abiria wa daladala.Mtu akinywa pombe Kwa starehe zake kuna shida gani?
Mbona treni zingine zina mpaka Bar ndani kabisa watu wanakunywa tu??
Hamna ukaguzi? Kama ndivyo basi Iko siku watu watu wataingia na vilipuziShida watu wanaingia na konyagi badala ya maji