Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tabia zetu ni za hovyo snHamna ukaguzi? Kama ndivyo basi Iko siku watu watu wataingia na vilipuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia zetu ni za hovyo snHamna ukaguzi? Kama ndivyo basi Iko siku watu watu wataingia na vilipuzi
Huo muda wa kupima watu wote unatoka wapi?Si wapime kama pombe wakatae
hahahhhahahaaaa mkuu labda wamezuia maji ii watu wanywe ya humoKwenye kuzuia maji wamedhihirisha ujinga wa kiwango cha lami. Ipo siku watazuia hata vidonge kwa wagonjwa.
Baa ya kwenye treni inauza gongo pia? Ingekuwa ni fujo sasa. Watu wafuate utaratibu ambao mimi kwangu sioni shidaTatizo haujawahi kupanda treni, ndani ya treni imo hoteli na baa.
Sasa. Hiyo kaz ya kina nan. Mboga wanakagua mizgoHuo muda wa kupima watu wote unatoka wapi?
Panda train ya zamani bado ipo hiyo hata uingie na gunia la mkaa sawaSasa. Hiyo kaz ya kina nan. Mboga wanakagua mizgo
"Watu wafuate utaratibu ambao mimi kwangu sioni shida"! Mbona unanichanganya, wewe ndiye Kadogosa mwenyewe au ndio wale wa hiyo hela tuma kwa namba hii!Baa ya kwenye treni inauza gongo pia? Ingekuwa ni fujo sasa. Watu wafuate utaratibu ambao mimi kwangu sioni shida
Kwani utaratibu umewekwa kwa ajili ya Kadogosa? Kila mtu aliye na maslahi na treni hiyo kwa vyovyote inabidi aunge mkono hatua zozote zitakazotolewa kwa lengo la kuutunza mradi huo. Kwanza SGR ikienda na utaratibu huu itakuwa ni zoezi zuri kwa wanaotarajia kupanda ndege especially kwa safari za nje ya nchi, maana kuna watu wakiambiwa kimiminika au fluid kinachozidi container ya mililita 100 hairuhusiwi kwenye ndege, huwa hawaelewi logic yake. Sasa walazimishwe kuzoea, sababu watazijua wakizitafuta"Watu wafuate utaratibu ambao mimi kwangu sioni shida"! Mbona unanichanganya, wewe ndiye Kadogosa mwenyewe au ndio wale wa hiyo hela tuma kwa namba hii!
Nikiingia na konyagi shida inakuwa ni nini kwani?Shida watu wanaingia na konyagi badala ya maji
Nikinywa konyagi inakuhusu nini wewe TRC mbona kwenye mabasi hatupangiwi hizi hujuma za kipuuzi kuhusu hiyo reliAnanunua maji anakunywa nusu then anajaza konyagi ndogo, TRC wapo sahihi kwa hilo hata mimi shahidi
Serikali imejipanga vipi kuhakikisha vyakula ni salama nje ya treni?UWT sijui kama una akili, wanapozuia kuingia na vyakula maanake kwenye train au ndege hakuna vyakula? usalama wa vyakula vya nje unaujua?
kuna ubaya nikinywa konyagi kama sikusumbui. kwani konyagi hawalipi corporate tax?Ananunua maji anakunywa nusu then anajaza konyagi ndogo, TRC wapo sahihi kwa hilo hata mimi shahidi
Leo umeamkaje ndugu?.UWT sijui kama una akili, wanapozuia kuingia na vyakula maanake kwenye train au ndege hakuna vyakula? usalama wa vyakula vya nje unaujua?
Mambo ya ccm waachie wenyeweKinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Wanataka ukanunue maji yao mle ndaniKwenye kuzuia maji wamedhihirisha ujinga wa kiwango cha lami. Ipo siku watazuia hata vidonge kwa wagonjwa.
Mbona wao wanauza beer mle?Shida watu wanaingia na konyagi badala ya maji
Ina shida na kadogosaKadogosa Anataka tuingie kwenye treni na briefcase halafu atulazimishe tunywe maji anayotaka yeye.
Mimi kwanza sinywi maji ya dukani. Maji nachemsha mwenyewe na ndio natembea nayo.