Moshi town
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 171
- 120
- Thread starter
-
- #81
Kama pima alilamba Tzs 62 Milion na yupo Ndani kwanini hawa waliolamba 36 Bilion wapo mtaani?Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Ongeza kamba yako usijudge ya mwenzio utakuwa mchawi
Nimewasiliana naye kupitia Njia nyingine mambo ni moto . .. Mambo ni Fire … Fire …soon watu wanaanza kuvaa kanzu kisongoNilikupa namba ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni,ni vema Ushahidi mzuri kama huu ungemtumia,yupo online Whatsapp muda wote
Umemtaarifu Jaji Feleshi hili swala?Rujomba ana kamba sana walipiga kamba hadi Ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali . Uzuri Mwanasheria Mkuu wa serikali alijitoa kwenye risk…Sasa kila mtu apambane na hali yake… Shikamoo Mama Samia.
Yes… Nimeandika Official letter ilaUmemtaarifu Jaji Feleshi hili swala?
Barua siku zote hizi unahangaika humu!!? huyo ungemtaarifu hilo swala lingeshaisha zamani sana kama kuna ukweli hana konakona huyo na uzuri wanamjua "hanunuliki", ungemtumia hata SMS tu lazima angerespond.Yes… Nimeandika Official letter ila
Kama upo naye karibu mtonye.
Mkuu wa Wilaya, Mkoa....wapo, Waziri mhusika...yupo, wote wanaoweza kuchukua hatua mara moja wapo...lakini hutasikia chochote...eh, nimesahau: rais yupo....maana Bil 36 ni shule zaidi ya kumi full furnished!Itakuwa wewe ndiyo haujui Sheria ya mikataba Kimataifa.
Sheria ya Mikataba ya kimataifa inaelekeza Zabuni kutangazwa ili apatikane Mshindi halali,
Zabuni ya Construction of water blending system for FLOURIDE reduction aikutangazwa na Mkandarasi kampuni ya China Sinohydro wamepatiwa zabuni bila kupitishwa na Bodi ya Zabuni ya AUWSA ( AUWSA Tender Board) ,
Sheria ya zabuni inaitaji kabla ya Mkandarasi kusaini Mkataba unaozidi 1 Bilion Mkataba uende kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya Veting hii aikufanyika , Mkataba umeandaliwa na Mchina Eng Rujomba akasaini bila hata ya kupata Ushauri wa Wanasheria wa AUWSA Advocate Sabas na Namayani, Kwa Lugha Raisi Mkataba umesainiwa bila kufanyiwa Vetting na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mkataba Umesainiwa bila kupata No Objection kutoka AFDB, Sheria inaitaji kabla ya Mkataba Kusainiwa PE ( AUWSA) itume taarifa ( Evaluation report) kwenda wa Donor ( AFDB) kumfaamisha Mchakato umefanyika kwa kufuata Procedure zote za Tender kwa maama Tender Imetangazwa, Evaluation team wamepitia na Tender Board imekaa na Kuridhia, Haya yote ayakufanyika na hadi leo AFDB wamegoma kutoa barua ya No Objection..
Mkataba umesainiwa kisiri Siku ya
Ambayo siyo ya kazi Tarehee 7 Julai
2022 Lengo ikiwa ni isigundulike.. Sheria
Inataka mikataba isainiwe siku ya kazi na kwa uwazi and not otherwise.
Mkataba umesainiwa bila kushuudiwa na Wajumbe wa Bodi ya AUWSA
Mkataba Umesainiwa bila kushuudiwa na Management
Gharama za Ujenzi umeongezeka kutoka 20 bilion hadi 36 bilion kuna ongezeko la 16 bilion.. Mkandarasi Mshauri ( Consultancy) kampuni ya Cheil consultancy iliandaa BOQ ya Ujenzi wa Mradi iwe Tzs 20 bilion Engineer Rujomba amesaidi Tzs 36 bilion.
Project Manager Eng Mkawe Akushirikishwa katika Process ya kumtafuta Mkandarasi hii ni hatari inakuwaje MD na HPMU wanafanya Proces ya Kumtafuta Mkandarasi na kusaini Mkataba Project Manager hana taarifa?
Huu Mkataba ni kama Richmond , Mwaka 2008 Karamagi alisaini mkataba kisiri na kampuni ya Richmond Siku ya Public Holiday Nje ya Nchi.
Ni cheni ndefu sana yupo Rujomba- Wakubwa Wizara ya Maji - Eng Rweitabula wa AFDB .Mkuu wa Wilaya, Mkoa....wapo, Waziri mhusika...yupo, wote wanaoweza kuchukua hatua mara moja wapo...lakini hutasikia chochote...eh, nimesahau: rais yupo....maana Bil 36 ni shule zaidi ya kumi full furnished!
Kinachonishangaza ni kufanana kabila ya huyo injinia (Rujoba) na lile la mtu wa AFdB! Hawa watu hatari sana kwa kuila hii nchi. Ningekuwa rais nisingeruhusu hawa watu kuwa na dhamana ya zaidi ya shil mil 1. It is not coincidental that majority of thieving of public funds cases you will find one of them involved. Hawa hawafunzwi maadili kabisa!
Matumaini pekee yatakuwa kwa watu waadilifu katika AFdB, hivyo kwamba wameishakataa. Tena wamswage huyo nanihii waliomweka TZ. Walete Mmasai!
Tumpatie muda tuone kama atauchuna ndiyo tumrukie kwa Ngora.Barua siku zote hizi unahangaika humu!!? huyo ungemtaarifu hilo swala lingeshaisha zamani sana kama kuna ukweli hana konakona huyo na uzuri wanamjua "hanunuliki", ungemtumia hata SMS tu lazima angerespond.
I know this man. So he's this corrupt?Ushidi wa Mkataba kusainiwa kati ya Eng Rujomba na Sinohdro huu hapa