Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nakubaliana na prof wajackoya, turuhusu uvutaji bangi na kunyonga mafisadi, JPm angewanyonga Hawa wapiga dili angekuwa hai hadileoHahahahahahahah vita ya uchumi ni ngumu sana hasa rushwa ya hela ndefu inapoingia kwenye muvi😂😂😂
Hahahahahahahah vita ya uchumi ni ngumu sana hasa rushwa ya hela ndefu inapoingia kwenye muvi[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa.....Bila kuunda upya TISS, PCCB, TanPol na TPA yenyewe,kamwe tusitegemee bandari kuinufaisha nchi.
Halazimiki kujieleza popote na akifanya hivyo ni kwa utashi wake binafsi Period
Rais alipomteua Eric Hamissi April 2021 alimweleza ufisadi wa Bandarini akamuagiza achukue hatua!
Mwezi Disemba 2021 Rais alivunja Bodi ya TPA akatoa nasaha tena za ufisadi pale! Watu wanachezea mfumo, mizigo inaonekana imelipiwa getini kumbe imepita free na nchi inakosa kodi! Akamwambia tena Mkurugenzi awaondoe watendaji wanaofanya hivyo na akitaka list atampatia yeye!
Sasa uvumilivu umemshinda Rais, kamuondoa Mkurugenzi mwenyewe!
Uwezo wa Eric ulikuwa mdogo… achana na blah blah za kusikiaYaani bandari hii inataka kila sehemu iwe inajitegemea peke yake na bosi wake
Naona Bandari ni mzigo mkubwa kuiongoza maana ina ingiza mabilioni na kuna wakubwa wamo kwenye kula hapo na bidhaa ama zao au shared au ni marafiki wakubwa na wanaoingiza mizigo na wanawabeba
Bandari ina mambo haswa na hakuna wa kuiweza hata ukijifanya unajuwa utanyooshwa uwe kama wao penda usipende utacheza ngoma yao
Ndio hapo utaambiwa huna kazi kumbe umebanwa mahali
Uwezo wa Eric ulikuwa mdogo… achana na blah blah za kusikia
OkayRais alipomteua Eric Hamissi April 2021 alimweleza ufisadi wa Bandarini akamuagiza achukue hatua!
Mwezi Disemba 2021 Rais alivunja Bodi ya TPA akatoa nasaha tena za ufisadi pale! Watu wanachezea mfumo, mizigo inaonekana imelipiwa getini kumbe imepita free na nchi inakosa kodi! Akamwambia tena Mkurugenzi awaondoe watendaji wanaofanya hivyo na akitaka list atampatia yeye!
Sasa uvumilivu umemshinda Rais, kamuondoa Mkurugenzi mwenyewe!
Hii ndio ilikuwa sababuMbona wengine wanasema Eric atakumbukwa kwa uzalendo wa hali ya juu
Hakutaka kubinafsisha bandari
Tatizo tumebaki radio mbao tunajazana uongo humu mitandaoni
Yaniii kumbe zile radio mbao zingine zina hintsHii ndio ilikuwa sababu
Kabisa kabisaYaniii kumbe zile radio mbao zingine zina hints