CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Msoga Gang wanajipimia wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msoga Gang wanajipimia wenyewe
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake..Mashindano ya upigaji yamerejea.
4m mbona nyingi angetoa 1m kabisa
Ova
Laki 2We unataka wanunue kwa bei gai?
Hao ndio team nzi wa kijani,wote ni majambazi
Hii ni too much... gari imetembea 900Km! Kwa Hilux hiyo ni brand new car; kwa 4mil kweli???Ukweli ni kwamba wanaopanga bei ya magari chakavu ya serikali wanayouziwa watumishi ni Hazina. Mtumishi hawezi kujipangia bei
Kwa uelewa wangu kuna udanganyifu unafanyika Kwa ofisi yenye Gari wakishirikiana na tamesa kupeleka ripoti ya uongo kuhusu depreciation ya hiyo Gari .
Nakumbuka kuna jamaa yangu akishirikiana na temesa walidanganya ripoti ya Gari Kwa kusema Gari ipo grounded na imepata accident wakatuma hadi picha za Gari kama hiyo ( land rover defender) iliyopinduka haijatengenezwa.
Jamaa wa hazina wakamkadiria hiyo Gari ainunue Kwa sh laki 7 wakati Gari ilikuwa nzima na inatembea
Kwani huyo mkurugenzi ni mwana ccm?Hapo ndiyo tutambue kuwa Ufisadi, ni jadi ya Chama tawala cha Sisiem![emoji1]
Mzee kwa hii kesi hao hazina wanahusika, gari imetembea km900 tu imedepriciate hadi kufika 4m? Pili vikao vya baraza la madiwani hawakupitisha kuuzwa kwa hilo gariUkweli ni kwamba wanaopanga bei ya magari chakavu ya serikali wanayouziwa watumishi ni Hazina. Mtumishi hawezi kujipangia bei
Kwa uelewa wangu kuna udanganyifu unafanyika Kwa ofisi yenye Gari wakishirikiana na tamesa kupeleka ripoti ya uongo kuhusu depreciation ya hiyo Gari .
Nakumbuka kuna jamaa yangu akishirikiana na temesa walidanganya ripoti ya Gari Kwa kusema Gari ipo grounded na imepata accident wakatuma hadi picha za Gari kama hiyo ( land rover defender) iliyopinduka haijatengenezwa.
Jamaa wa hazina wakamkadiria hiyo Gari ainunue Kwa sh laki 7 wakati Gari ilikuwa nzima na inatembea
Wasimamizi wa tume ya uchaguzi hawa🤣🤣
serikali ipi ya ccm iliwahi kuwa safi?Ukiniletea mtu mmoja tu msafi ktk hii selekale ya ssm mi natoa uharo kuanzia kimara korogwe hadi picha ya ndege kibaha
Kwani hiyo Toyota Hilux ilipswa kuuzwa bei gani?4m mbona nyingi angetoa 1m kabisa
Ova
Eti mwendazake alizuia ufisadi July 2020 si ndo alikua raisHapo ndiyo tutambue kuwa Ufisadi, ni jadi ya Chama tawala cha Sisiem![emoji1]