Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Kwa kasi ya 5G!Mashindano ya upigaji yamerejea.
Huyu ni kada wa CCM hakuna tatizo
Hawa ni makada wa CCM huwezi kuwafanya chochoteMchezo huu mchafu unafanywa sana na baadhi ya watendaji wa Serikali karibu kila idara za Serikali zinafanya ubashirifu huu wa kuuziana magari ya Serikali kwa thamani ya chini kabisa, mchezo huu ndio ulio tumika ktk kuuziana nyumba za Serikalai n.k.
tabia hii ikomeshwe.
Hawa ni makada wa CCM huwezi kuwafanya chochoteMchezo huu mchafu unafanywa sana na baadhi ya watendaji wa Serikali karibu kila idara za Serikali zinafanya ubashirifu huu wa kuuziana magari ya Serikali kwa thamani ya chini kabisa, mchezo huu ndio ulio tumika ktk kuuziana nyumba za Serikalai n.k.
tabia hii ikomeshwe.
Kuna tatizo kwa sababu gari alilojinunulia sio la CCM , limenunuliwa kwa kodi za wananchi.Huyu ni kada wa CCM hakuna tatizo
Mtu aliteuliwa kutoka UVCCM hajawahi kuwa mtumishi wa umma unategemea nini? pia CCM watamlinda na hatari yoyoteK
Kuna tatizo kwa sababu gari alilojinunulia sio la CCM , limenunuliwa kwa kodi za wananchi.
Duuh kweli tulikosea kumuita Magu shetani!?Dah! Yetu macho au mwenye macho ambiwi tazama
Ingetupwa mnadani ungejua bei ya sokoKwani hiyo Toyota Hilux ilipswa kuuzwa bei gani?
Kasi ndogo hiyo!Kwa kasi ya 5G!
Hiyo gari ilikuwa imetembea Kms 900 mkuu.kwahiyo bei ya Tsh 4 milion kuitukana serikali .Kwani hiyo Toyota Hilux ilipswa kuuzwa bei gani?
Mpaka amenunua hiyo gari amepitia mchakato mrefu na vibali vya kutosha