Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Shigganza

Senior Member
Joined
May 24, 2018
Posts
160
Reaction score
412
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


IMG_1394.jpg
 
Lakini si Polisi wameishamwekea kinga kuwa risasi ilipigwa akiwa nje ya kanisa .eti aliyefyatua risasi ni askari Wa wanyama pori. Wakati mzazi wa marehemu anasema aliyepiga ni mkurugenzi , tumwamini nani kama mzazi alikuwa ndani kanisani .Kupelekwa mahakamani ni kufast track kesi iende haraka halafu polisi wataonyesha hakuhusika. Ni mbinu ya kumwachia haraka na kurudi itategemea mamlaka iliyomteua . Mkurugenzi aliyembishia waziri wake (Jaffo) kuwa anapotosha umma ulitegemea angekuwa Wa kawaida angeendelea na madaraka ? Ushauri mdogo, ukibebwa ubebeke, na mamlaka za uteuzi ukiona MTU habebeki, bwaga chini ili kulinda Taasisi na taaswira nzima ya serikali. Mbona Wa kubebwa wapo wengi ,kwanini uendelee kubeba mzoga , ukioza utanuka na wewe. Beba ndugu ,rafiki au jamaa yako asiyekuaibisha.Mwisho, ikiwa kweli huyu mkurugenzi alikuwa meneja Wa hotel kisha akateuliwa kuwa mkurugenzi ,hii ni kudhalisha Taasisi ambayo mteuzi amepewa. Hii ni zaidi ya upendeleo. Mamlaka kubwa ukipewa tenda kila kitu kwa hekima .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
Hayo maswali yako muulize Stroke aliyekuwa anatetea muuaji. Muulize RPC aliyesema DED alikuwa nje wakati wa Mauaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
Kwanini mpaka sasa hajafukuzwa kazi , ni kwanini polisi wanapambana kumnasua , je atalala rumande ?
 
Yuko gereza gani ?naona huko atakutana na kiongozi wake gerezani asifikiri atamburuza mtu hko .....lazima acheze nakoz

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
Hata Ditopile alipouwa alifikishwa mahakamani,zombe sema konachofuata ndio maigizo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushahidi wa polisi utamtoa.....kesi atapewa marehemu....alitaka kupokonya silaha .....
 
Lakini si Polisi wameishamwekea kinga kuwa risasi ilipigwa akiwa nje ya kanisa .eti aliyefyatua risasi ni askari Wa wanyama pori. Wakati mzazi wa marehemu anasema aliyepiga ni mkurugenzi , tumwamini nani kama mzazi alikuwa ndani kanisani .Kupelekwa mahakamani ni kufast track kesi iende haraka halafu polisi wataonyesha hakuhusika. Ni mbinu ya kumwachia haraka na kurudi itategemea mamlaka iliyomteua . Mkurugenzi aliyembishia waziri wake (Jaffo) kuwa anapotosha umma ulitegemea angekuwa Wa kawaida angeendelea na madaraka ? Ushauri mdogo, ukibebwa ubebeke, na mamlaka za uteuzi ukiona MTU habebeki, bwaga chini ili kulinda Taasisi na taaswira nzima ya serikali. Mbona Wa kubebwa wapo wengi ,kwanini uendelee kubeba mzoga , ukioza utanuka na wewe. Beba ndugu ,rafiki au jamaa yako asiyekuaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
swali ni je ameshasimamishwa kazi huyu mwamba?
 
Mkurugenz wa Itigi na watuhumiwa wenzake 6 wafikishwa kortini leo kwa ajili ya kesi inayowakabili ya mauaji. Watuhumiwa wameenda kinyume na sheria za nchi hivyo uchunguzi unaendelea kufanyika huku wakiwa chini ya ulinzi kwa kuwa kosa hilo halina dhamana.
. Sheria ifate mkondo wake.
#Tanzania yetu n ya Haki...
 
Huyu mkurugenzi angekaa pembeni kupisha uchungunzi na ushahidi usipotezwe mkurugenzi akae pembeni
 
Watu kama walishuhudia mauwaji hapo ushahidi upi unatafutwa?
Huyu bado yupo kazini na mshahara unasomeka

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Baba, kaka wa marehemu walimtaja huyu DED kuwa ndiye alimuua mwanaye. Lakini ngoja tuone mwisho wa kesi...

Kazi Yao sasa ni kusaidia Jamhuri kushawishi Mahakama Kuwa DED ndio mhusika wa Moja kwa Moja wa Mauaji sio kuamuru Mauaji !

Isije ikawa kashtakiwa kwa kuua Halafu kesi ikaenda mbele ikawa aliamuru Mauaji hapo Mahakama Huenda ika muachie huru kwa Kuwa Kazi ya Mahakama ni kuhukumu kwa kadiri mlivyoleta Mashtaka Na mshtakiwa alivyojitetea sio vinginevyo

Ukimfungulia DED kesi Kuwa ndio kaua maana yake uthibitishe ndie alishika Silaha akafyatua risasi , Au Kama aliamuru Mauaji basi tangu mwanzo isemwe anashtakiwa kwa kuamrisha Mauaji


Isije ikawa Kama Yale ya Morogoro unashtaki kundi la watu 7 Eti walitoa matamshi ya matusi dhidi ya Rais halafu unaambiwa thibitisha tusi hilo hilo lilitamkwa Na watu wote saba unaanza kubabaika

Mahakamani sio sehemu ya Blaa blaa
 
Back
Top Bottom