Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Huyu mtoto wa dada kwani alishafukuzwa kazi vipi yupo mahabusu au nje,
 
Kazi Yao sasa ni kusaidia Jamhuri kushawishi Mahakama Kuwa DED ndio mhusika wa Moja kwa Moja wa Mauaji sio kuamuru Mauaji !

Isije ikawa kashtakiwa kwa kuua Halafu kesi ikaenda mbele ikawa aliamuru Mauaji hapo Mahakama Huenda ika muachie huru kwa Kuwa Kazi ya Mahakama ni kuhukumu kwa kadiri mlivyoleta Mashtaka Na mshtakiwa alivyojitetea sio vinginevyo

Ukimfungulia DED kesi Kuwa ndio kaua maana yake uthibitishe ndie alishika Silaha akafyatua risasi , Au Kama aliamuru Mauaji basi tangu mwanzo isemwe anashtakiwa kwa kuamrisha Mauaji


Isije ikawa Kama Yale ya Morogoro unashtaki kundi la watu 7 Eti walitoa matamshi ya matusi dhidi ya Rais halafu unaambiwa thibitisha tusi hilo hilo lilitamkwa Na watu wote saba unaanza kubabaika

Mahakamani sio sehemu ya Blaa blaa
Hizi za maagizo.
 
Kwa tukio la polisi kumuua mweusi Marekani ilishuhudia maandamano makubwa sana polisi mhusika na wenzie wanne wakafukuzwa kazi na wanakesi ya mauaji

Huku kwetu ni tofauti kabisa najaribu kuimagine huyu mkurugenzi angekuwa marekani ingekuwaje
 
Back
Top Bottom