Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na wenzake wafikishwa mahakamani

Kwanini mpaka sasa hajafukuzwa kazi , ni kwanini polisi wanapambana kumnasua , je atalala rumande ?
Utashangaa mtu ameua halafu yuko nje na bado anaendelea na kazi yake yuko ndani ya ofisi ya umma halafu watu wengine wamewekwa lumande kwa sababu tu ya kuvunja masharti ya dhamana
 
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
Hili ni somo kubwa kwa viongozi na dhamana zao.
Kukusanya kodi kwa nguvu kufurahisha wakubwa kumempelekea DED kuingia mauaji na hatimaye lupango.

Busara ni stahiki muhimu katika uongozi.
 
Hili ni somo kubwa kwa viongozi na dhamana zao.
Kukusanya kodi kwa nguvu kufurahisha wakubwa kumempelekea DED kuingia mauaji na hatimaye lupango.

Busara ni stahiki muhimu katika uongozi.
Sikusikia sakata lenyewe lilikuwaje, hebu mnijuze wadau ilikuwaje hilo tukio ?
 
Inaendeleaje mkuu hii kesi?
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
 
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.

Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.

Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?


View attachment 1019746
Huu I upelelezi utachukua Miaka 6
 
Huu I upelelezi utachukua Miaka 6
Mwaka mmoja umepita sasa, hatujasikia lolote, upelelezi wa nini na wakati mtu aliua mchana kweupe, waseme/wakiri kwamba aliua halafu watuambie wanapeleleza aliua kwa sababu gani, maan huwa hawachelewi kufoji documents kutoka hospitali zao ikaonesha muuaji alikuwa na magonjwa ya akili
 
Polisi wadai upelelezi unaonyesha hakuhusika .
IMG_20200613_180120.jpg
 
Back
Top Bottom