Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Utashangaa mtu ameua halafu yuko nje na bado anaendelea na kazi yake yuko ndani ya ofisi ya umma halafu watu wengine wamewekwa lumande kwa sababu tu ya kuvunja masharti ya dhamanaKwanini mpaka sasa hajafukuzwa kazi , ni kwanini polisi wanapambana kumnasua , je atalala rumande ?
Hili ni somo kubwa kwa viongozi na dhamana zao.Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.
Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.
Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?
View attachment 1019746
Sikusikia sakata lenyewe lilikuwaje, hebu mnijuze wadau ilikuwaje hilo tukio ?Hili ni somo kubwa kwa viongozi na dhamana zao.
Kukusanya kodi kwa nguvu kufurahisha wakubwa kumempelekea DED kuingia mauaji na hatimaye lupango.
Busara ni stahiki muhimu katika uongozi.
Du mkuu, upo Tanzania au abroad?Sikusikia sakata lenyewe lilikuwaje, hebu mnijuze wadau ilikuwaje hilo tukio ?
Watanzania wa karne ya 21 wako makini sana katika kuchagua viongozi. Tatizo ni wahesabuji kura na watangazaji matokeo!!Watanzania 2020 tuwe makini sana kuchagua viongozi wetu
Atafungwa muda mfupi kupisha upepo. Ni mtoto wa dadaMtoto wa dada soon tutakunywa nae bia, ni mambo ya kuwazuga wadanganyika tu.
Kweli?Watanzania 2020 tuwe makini sana kuchagua viongozi wetu
Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.
Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.
Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?
View attachment 1019746
Angalia post number 27 ndio jibuInaendeleaje mkuu hii kesi?
Huu I upelelezi utachukua Miaka 6Mkurugenzi wa halimashauri ya wilaya ya Itigi, Pius Luhende(54) na washitakiwa wengine 6 wamefikishwa katika mahakama ya haikmu mkazi mkoani Singida leo kwa tuhuma za kumuua Isaka Petro februari 2, 2019 katika kijiji cha kazikazi. Upelelezi wa kesi haujakamilika.
Kitendo cha mkurugenzi huyo kufikishwa mahakamani ni ishara tosha kuwa katika awamu ya tano hakuna aliye juu ya Sheria @ Sheria ni msumeno, mtu akifanya kosa haijalishi cheo,'wadhifa na madaraka uliyonayo, Sheria itafuata mkondo wake.
Funzo jingine ambalo tunapata hapa ni Watanzania kuacha kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo hatuna uhakika nao, maana hapa katikati yalizuka maneno mengi, mara ni mtoto wa dada yake hawez kufunguliwa mashtaka, sasa leo tutasemaje cjui?
View attachment 1019746
Aisee, huenda limeshatimia maana hatujui yaliyoendeleaAngalia post number 27 ndio jibu
Mwaka mmoja umepita sasa, hatujasikia lolote, upelelezi wa nini na wakati mtu aliua mchana kweupe, waseme/wakiri kwamba aliua halafu watuambie wanapeleleza aliua kwa sababu gani, maan huwa hawachelewi kufoji documents kutoka hospitali zao ikaonesha muuaji alikuwa na magonjwa ya akiliHuu I upelelezi utachukua Miaka 6
Vipi mkuu mbona Gazeti la Februari 2019 ndiyo umelileta leo 13 Juni 2020 kuna nini?Polisi wadai upelelezi unaonyesha hakuhusika .View attachment 1477517
Sawa bahati yake bwanaPolisi wadai upelelezi unaonyesha hakuhusika .View attachment 1477517
Si nasikia ana undugu na Boss... ni mtoto wa dada na bosi???? kama ni kweli! Lakini jinai haifi!Polisi wadai upelelezi unaonyesha hakuhusika .View attachment 1477517