johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyu DED kuna siku hayati Magufuli alitaka kumtumbua mubashara pale Kilosa lakini akamsamehe baada ya dogo kuomba msamaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mwizi 40Huyu DED kuna siku hayati Magufuli alitaka kumtumbua mubashara pale Kilosa lakini akamsamehe baada ya dogo kuomba msamaha!
Ila Gairo kuna usanii sana kama Shabiby hakutaki lazima ufanyiwe figisu!Za mwizi 40
Nadhani wakati ule ilikua ya 39😂😂😂😂
Kada mwenzako huyo! Hivyo hajatia aibu yoyote ile! Maana chama chenu cha ccm na ufisadi, wizi wa mali ya umma, rushwa, na kila aina ya uovu! ni pete na kidole!!!Mabati😳😳😳
Mkurugenzi katia aibu wallah
Sasa wizi wa mabati na Shabiby vina uhusiano gani?Ila Gairo kuna usanii sana kama Shabiby hakutaki lazima ufanyiwe figisu!
PolitiksIla Gairo kuna usanii sana kama Shabiby hakutaki lazima ufanyiwe figisu!
Sijui Kama umeshawahi kujenga.11, 100 x 13,000/= = TZS 14,300,000/= !!!
Kada mwenzako huyo! Hivyo hajatia aibu yoyoye ile! Maana chama chenu cha ccm na ufisadi, wizi wa mali ya umma, rushwa, na kila aina ya uovu! ni pete na kidole!!!
Kwani wizi wa mabati na mkurugenzi vina uhusiano gani?Sasa wizi wa mabati na Shabiby vina uhusiano gani?
Wacha majungu
Siasa tu!hii kitu ni kweli ama imepikwa?
Hii comment naweka lamination itakuwa ukumbusho maana nimecheka hadi kujamba mbele boss wangu😢😢😢😢Kwani makada wa CCM huwa mnachagua cha kuiba?
Hawa wakurugenzi huwa ni makada na zao la uvccm na ni ngumu kutengenisha CCM na wizi.
Bado, Mkuu! Nipe dondoo za uhakika nisije kupigwa. Maana nilikisia hilo bati ni gauge 30 la kawaida siyo msauzi ukizingatia atauza kwa bei ya hasara kwa sababu hajatolea jasho mali hiyo!Sijui Kama umeshawahi kujenga.
Duh ! Basi kumbe kakomba 30 Mil katika bati hizi.Kwa bei ya wapi mkuu? Hata geji 32 sio bei hiyo
Ngoma inasoma 26,000 mkuu.
Wewe unaona kesi ya kubambikiwa Mbowe ya ugaidi, ndiyo yenye maslahi mapana kwa Taifa hili??Tumshinikize Rais amuamuru DPP amfutie kesi ili kuliponya taifa, kesi haina maslahi yeyote kwa taifa hii, inaleta uhasama tu
1,100 siyo 11,10011, 100 x 13,000/= = TZS 14,300,000/= !!!