THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
2020 bus yake ya kwanza ilikuwa DTF aka nyuma imeandikwa mjeshi ilikuwa inamwaga moto balaa ukipanda mbeya ni karibuAlianza kununua mabas mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020 bus yake ya kwanza ilikuwa DTF aka nyuma imeandikwa mjeshi ilikuwa inamwaga moto balaa ukipanda mbeya ni karibuAlianza kununua mabas mwaka gani?
Punje alizodonoa jongoo zimekata....Kwamba mahindi yameisha?
Yapo mabus soon yanarudi kumwaga moto road yalikuwa serviceKwani bado ipo hii kampuni si alipokonywa mabus
Wanaweza sema they don't care. As if Tanzania sio kwao....Mi pia nina mawazo kama ya kwako.
Barabara ya Morogoro imezidiwa sana.
Madereva wengi hasa wale wa masafa marefu wanaendesha wakiwa wamechoka sana.
Lakini mara kwa mara namsikia ndugu Kafulira anapigia debe kampuni binafsi zijenge barabara za aina hiyo kwa kulipia.
Kwanini tulipie wakati tuna serikali, inayokusanya kodi zetu.
Serikali ijenge hata km 50 kwa mwaka.
Ajali za kishetani hizi...unatafutwa wewe tu.View attachment 3061218
Usalama mia wakati gari limepondeka namna hiyo? Likely alikuwa kwenye spidi kali au kabananishwa kwa nyuma. So sad!
Mitaa mibaya hiyo....ilimuondoa rafiki yangu alikuwa anaelekea Moro akidrive IST from Dar to Moro saa moja usiku....barabara ilimvuta akakutana na LoriKuna kipande fulani kama unaitafuta ruvu ukiwa unatokea mlandizi pale hapafai kabisa
Ova
Gari za Sauli zilishapotea...
Miujiza huwa inatokea mkuu. Gari limepondeka kweli kweli. Aliyetoka salama hapa Mungu bado Anampenda sana!Ajali za kishetani hizi...unatafutwa wewe tu.
Eti kuna mtoto katoka na michubuko humo!?🧐🤔🧐
Utajiri wa manyoka ndo tabia zake,ata biashara zake zitayeyuka sasa hviTumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.
Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi
Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.
Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.
Rest in peace Mwilabila Sauli
======
Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri.
Mwandishi wetu wa Pwani ameeleza kuwa ajali hiyo ilihusisha magari mawili yaliyokuwa katika sehemu moja gari namba T213 DQD aina ya Fuso.
Imeelezwa kuwa gari hilo lilipata hitilafu ya kiufundi na kuligonga gari aina ya Jeep lenye namba za usajili T466EGW alilokuwemo mmiliki wa Sauli ambapo liligonga gari jingine aina ya Howo la kubebea kokoto.
Marehemu Sauli mkazi wa Mbeya alikuwa na mtoto wake mwenye umri wa miaka minne ambaye alipata michubuko na alipelekwa hospitali kabla ya kuruhusiwa.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye chumba cha maiti kituo cha afya Mlandizi.
Sauli alikuwa mmiliki mabasi ya Sauli yaliyowahi kufanya safari za Dar Es Salaam - Mbeya.
Kamanda wa Polisi Mkoa Pwani Pius Lutumo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Azam TV
Sio mkono wa mtu,ni utajiri wa mizimuMkono wa mtu huo! Siamini kuwa ni ajali ya kawaida, planed one?Poleni sana watanzania