Mie huwa nashangaa sana
Nec ndani siku saba wana uwezo wa kuanikisha kanda moja yenye watu milioni tano,,sijui hawa NIDA wana tatizo gani
Unaweza kumpa mtu namba kwanza,ukigundua kuna makosa au uraia una utata unampoka tu namba akamalizane na uhamiaji kwanza,lakini wao wanaona ni bonge la kazi kutoa vitambulisho
Nec ndani siku saba wana uwezo wa kuanikisha kanda moja yenye watu milioni tano,,sijui hawa NIDA wana tatizo gani
Unaweza kumpa mtu namba kwanza,ukigundua kuna makosa au uraia una utata unampoka tu namba akamalizane na uhamiaji kwanza,lakini wao wanaona ni bonge la kazi kutoa vitambulisho