Mkurugenzi wa NIDA atakiwa kujieleza kwanini asifutwe kazi

Mkurugenzi wa NIDA atakiwa kujieleza kwanini asifutwe kazi

Mie huwa nashangaa sana
Nec ndani siku saba wana uwezo wa kuanikisha kanda moja yenye watu milioni tano,,sijui hawa NIDA wana tatizo gani
Unaweza kumpa mtu namba kwanza,ukigundua kuna makosa au uraia una utata unampoka tu namba akamalizane na uhamiaji kwanza,lakini wao wanaona ni bonge la kazi kutoa vitambulisho
 
Hivi Mh Kagi anataka kutuambia muda wooote hajui shida NIDA iko wapi?? /Akiwa waziri na hajui shida iko wapi basi hata yeye Kagi ana takiwa ajieleze kwetu kwanini na yeye Mh Rais asimfute kazi. Waache siasa kwenye mambo yanayo gusa jamii..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Mh Kagi anataka kutuambia muda wooote hajui shida NIDA iko wapi?? /Akiwa waziri na hajui shida iko wapi badi hata yeye Kagi ana takiwa ajieleze kwrtu kwanini na yrgye Mh Rais asimfute kazi. Waache siasa kwenye mambo yanayo gusa jamii..

Sent using Jamii Forums mobile app
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Mimi ningefurahi kusikia anayehusika aeleze kwa nini wahitimu hawaajiriwi na wamejaa mitaani huku kukiwa na upungufu wa wafanyakazi sekta mbalimbali.
Kwangu hili ni tatizo sugu. Na hili la NIDA halina shida kubwa laweza kusuasua hata miaka mia. Mbona NIDA ni ya juzi tu?
Mtu anaacha kukomaa na matatizo siriazi na kudili na mambo ambayo hata ukiyaaahirisha taifa halidhuriki kivile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Kangi Lugola amemwagiza Mkurugenzi wa NIDA kukutana naye kwenye ofisi za NIDA Lindi tarehe 11 January, huku akiwa na maelezo ya kutosha kuhusiana na ucheleweshaji wa vitambulisho ili asifutwe kazi.

Chanzo: Watetezi TV

cheo ni Mkurugenzi Mkuu sio mkurugenzi maana wapo wengi halafu kwa Mkurugenzi Mkuu hafutwi kazi na Waziri never
 
Tunaambiwa kwamba tar 20 Jan ndo line zote zinazimwa,Kule Nida ukimaliza kujiandikisha ile namba huipati siku hiyohiyo,Sasa je wale ambao watajiandikisha siku ya mwisho tar 20 line zao itakuaje? Na je inawezekana tar hiyo 20 watu wote mpk vijijini wakawa wamepata hiyo namba?
 
Tunaambiwa kwamba tar 20 Jan ndo line zote zinazimwa,Kule Nida ukimaliza kujiandikisha ile namba huipati siku hiyohiyo,Sasa je wale ambao watajiandikisha siku ya mwisho tar 20 line zao itakuaje? Na je inawezekana tar hiyo 20 watu wote mpk vijijini wakawa wamepata hiyo namba?
Nchi inaendeshwa kama gari lililokatika senta bolti
 
shida nyingine niliyo iona ni kuwa, watu wakishamaliza process zote, za kujiandikisha waanaambiwa warudi majumbani, namber watapatiwa baada ya mwezi mmoja. hili lipo karibu kila wilaya

kwahiyo dhana yakusema vitendea kazi hamna, haiingi akilini, maana system ingeweza kumpa mtu namba akaendelea na process zingine huku akiendelea kusibiri id itoke huko siku za mbeleni.

sasa, mtu amejiandikisha ndani ya muda uliowekwa, kumwambia asubiri siku 30 ndiyo apate just namba na siyo id, hilo ni mapungufu ya nida siyo serikali.
NIDA iko chini ya nani?? Unaitenganishaje NIDA na Serikali??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmepatia budget ya kutoa vitambulisho? asilimia kubwa ya uchelewaji kutoa vitambulisho ni serikali kushindwa kutoa fungu bhana , vitambulisho vimewashinda miaka mitano sasa mmeamua kukimbilia kutoa namba , vitambulisho hadi vitoke makao makuu wapi na wapi? kwa nini msiwe na centralized system nchi nzima katika vituo vya polisi au uhamiaji? kubalini watu wa cyber cafe wawatolee pindi wakipata namba kutoka kwenu ni haraka na rahisi, mtu apate namba aende akapige passport size aende cyber kutengenezewa kitambulisho dakika chache tu Mambo yanakamilika , akili za IT hamna mnatumia ubabe tu kila mahali.

[emoji419]
 
shida nyingine niliyo iona ni kuwa, watu wakishamaliza process zote, za kujiandikisha waanaambiwa warudi majumbani, namber watapatiwa baada ya mwezi mmoja. hili lipo karibu kila wilaya

kwahiyo dhana yakusema vitendea kazi hamna, haiingi akilini, maana system ingeweza kumpa mtu namba akaendelea na process zingine huku akiendelea kusibiri id itoke huko siku za mbeleni.

sasa, mtu amejiandikisha ndani ya muda uliowekwa, kumwambia asubiri siku 30 ndiyo apate just namba na siyo id, hilo ni mapungufu ya nida siyo serikali.

Huelewi unachoandika....
 
Hii serikali ya kipuuzi kabisa, hivi kuna haraka gani na hili zoezi wakati wanajua kabisa hawana rasilimali za kutosha? Wamekwama hata kwenye kutoa hizo namba zenyewe, kwani kuna ugumu gani wa kumpatia mhusika namba yake siku hiyo hiyo wanapochukua vielelezo vyake?
Kuna Vijana wengi wataalam wa masuala hayo wapo mitaani tu, wangetumika angalau wakasaidia hata kuwezesha kupatikana kwa NAMBA YA NIDA tu, mara tu anapomaliza kuandikishwa mtu.
 
Back
Top Bottom