Hivi Mh Kagi anataka kutuambia muda wooote hajui shida NIDA iko wapi?? /Akiwa waziri na hajui shida iko wapi badi hata yeye Kagi ana takiwa ajieleze kwrtu kwanini na yrgye Mh Rais asimfute kazi. Waache siasa kwenye mambo yanayo gusa jamii..
Sent using Jamii Forums mobile app
Popote ulipo agizia kinywaji ukipendacho Ntakuja kukulipia!Swali ninalojiuliza hivi tunawahi wapi na hizi biometrics. Why are we in a hurry? Wakati bado logistics zote hazijakaa sawa.
ilihali watundu wa kompyuta tuko mitaani tukishauriwa tulime mchicha!!pamoja na nguvu kazi nida unakuta wilaya nzima yuko moja au wawili kazi ni kubwa sana
Napiga Pepsi bariiid
Utasikia Mkuu Allen Kilewella kuwa,zoezi la vitambulisho vya uraia limeingiliwa na watu wasio wazalendo, mabeberu na wasiolitakia mama Taifa hili😀Utasikia wapinzani hawana hoja!!
Hata kupata namba tu imekuwa tatizo,kwani kuna malighafi gani hapo zinahitajika?Wanamtoa mhanga bure.. Ukweli unajulikana... Uhaba wa malighafi na vitendea kazi
Jr[emoji769]
Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Kangi Lugola amemwagiza Mkurugenzi wa NIDA kukutana naye kwenye ofisi za NIDA Lindi tarehe 11 January, huku akiwa na maelezo ya kutosha kuhusiana na ucheleweshaji wa vitambulisho ili asifutwe kazi.
Chanzo: Watetezi TV
Nchi inaendeshwa kama gari lililokatika senta boltiTunaambiwa kwamba tar 20 Jan ndo line zote zinazimwa,Kule Nida ukimaliza kujiandikisha ile namba huipati siku hiyohiyo,Sasa je wale ambao watajiandikisha siku ya mwisho tar 20 line zao itakuaje? Na je inawezekana tar hiyo 20 watu wote mpk vijijini wakawa wamepata hiyo namba?
NIDA iko chini ya nani?? Unaitenganishaje NIDA na Serikali??shida nyingine niliyo iona ni kuwa, watu wakishamaliza process zote, za kujiandikisha waanaambiwa warudi majumbani, namber watapatiwa baada ya mwezi mmoja. hili lipo karibu kila wilaya
kwahiyo dhana yakusema vitendea kazi hamna, haiingi akilini, maana system ingeweza kumpa mtu namba akaendelea na process zingine huku akiendelea kusibiri id itoke huko siku za mbeleni.
sasa, mtu amejiandikisha ndani ya muda uliowekwa, kumwambia asubiri siku 30 ndiyo apate just namba na siyo id, hilo ni mapungufu ya nida siyo serikali.
UKWELI NI FEDHA ZA KUFANIKISHA MRADI HUU UMELIWAAA! NA WALIYOKULA HAWAWEZI KUGUSWA BAADHI WANAOMIAA NI MBUZI WA KAFARA TUNchi inaendeshwa kama gari lililokatika senta bolti
Mmepatia budget ya kutoa vitambulisho? asilimia kubwa ya uchelewaji kutoa vitambulisho ni serikali kushindwa kutoa fungu bhana , vitambulisho vimewashinda miaka mitano sasa mmeamua kukimbilia kutoa namba , vitambulisho hadi vitoke makao makuu wapi na wapi? kwa nini msiwe na centralized system nchi nzima katika vituo vya polisi au uhamiaji? kubalini watu wa cyber cafe wawatolee pindi wakipata namba kutoka kwenu ni haraka na rahisi, mtu apate namba aende akapige passport size aende cyber kutengenezewa kitambulisho dakika chache tu Mambo yanakamilika , akili za IT hamna mnatumia ubabe tu kila mahali.
shida nyingine niliyo iona ni kuwa, watu wakishamaliza process zote, za kujiandikisha waanaambiwa warudi majumbani, namber watapatiwa baada ya mwezi mmoja. hili lipo karibu kila wilaya
kwahiyo dhana yakusema vitendea kazi hamna, haiingi akilini, maana system ingeweza kumpa mtu namba akaendelea na process zingine huku akiendelea kusibiri id itoke huko siku za mbeleni.
sasa, mtu amejiandikisha ndani ya muda uliowekwa, kumwambia asubiri siku 30 ndiyo apate just namba na siyo id, hilo ni mapungufu ya nida siyo serikali.
Tatizo ndo lilipoanzia hapaMmefukuza wafanyakazi 500 wa nida mlivyoingia madarakani,Tena wale ndo wenye ujuzi,halafu mnalalamuka kucheweshewa vitambulisho,au kangi hajui Hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app