TANZIA Mkurugenzi wa Quality Building Construction afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Quality Building Construction afariki dunia

Wewe na utuuzima wako unasubiri mtu aje akwambie uvae barakoa..una akili kweli...hujui zinapopatikana, hujui umuhim wake, hujui njia za kuepuka maambukizi mbalimbali...hivi unadhan Tanzania yetu Nani asiyeijua barakoa...sasa kuvaa napo mpaka uambiwe..huo ni ujinga sana
Hili jibu nimelishangaa kidogo. Watu waliaminishwa barakoa ni mbaya tena eti zimewekewa Korona. Hivi unategemea a normal citizen kuamini barakoa? Ukiuliza utapata majibu kuwa hakuna korona tumeambiwa na pia barakoa tuliambiwa hazisaidii hata baba alisema. Mimi ninavaa hata wanishangae. Leo nilihudhuria msiba wa jirani amefariki kwa tatizo la upumuaji. Japo tulikuwa wachache maana tulikubaliana majirani twende mmoja mmoja. Niliowakuta nje na ndani hakuna mwenye barakoa. Hivyo niliona kama wamenishangaa na kibarakoa changu. Hii ndiyo Tanzania iloyoaminishwa hakuna Corona na barakoa ni mbaya. Sad
 
Magufuli anawadanganya kweli .Jamani kila mtu ana mwili na nafsi yake. Usivae barakoa eti kisa Magufuli kasema msivae. Vaeni Barakoa jamani. Maisha yalivyo matamu hivyo. Haiwezekani kufa kizembe. Barakoa navaa,mikono nanawa mara milion kwa siku. Kwenye pochi yangu haukosi Barakoa na Sanitizer.

Na kikoi, au sio? [emoji16]
 
Magufuli anawadanganya kweli .Jamani kila mtu ana mwili na nafsi yake. Usivae barakoa eti kisa Magufuli kasema msivae. Vaeni Barakoa jamani. Maisha yalivyo matamu hivyo. Haiwezekani kufa kizembe. Barakoa navaa,mikono nanawa mara milion kwa siku. Kwenye pochi yangu haukosi Barakoa na Sanitizer.
Unatumika na mabeberu tu..
 
Hili jibu nimelishangaa kidogo. Watu waliaminishwa barakoa ni mbaya tena eti zimewekewa Korona. Hivi unategemea a normal citizen kuamini barakoa? Ukiuliza utapata majibu kuwa hakuna korona tumeambiwa na pia barakoa tuliambiwa hazisaidii hata baba alisema. Mimi ninavaa hata wanishangae. Leo nilihudhuria msiba wa jirani amefariki kwa tatizo la upumuaji. Japo tulikuwa wachache maana tulikubaliana majirani twende mmoja mmoja. Niliowakuta nje na ndani hakuna mwenye barakoa. Hivyo niliona kama wamenishangaa na kibarakoa changu. Hii ndiyo Tanzania iloyoaminishwa hakuna Corona na barakoa ni mbaya. Sad
Mimi nilishaambiwa naogopa kufa Lisa nimevaa barakoa.nilienda mkoani kwenye basi ni peke yangu nilievaa. Watu wananiangalia tu
 
Yaan Wewe kuvaa barakoa unasubiri tangazo la Mama Gwajima?
Mpaka waanze kudondoka viongozi wazito ndiyo utaona matamko kila kona.

Imagine kanisa katoliki walitoa tamko baada ya mapadri kadhaa kufariki wasingejisumbua kama wasingeguswa.
 
Hapa muda huu Kuna jamaa amefariki dk 5 zilizopita Jana alikuwa dar
 
Tetesi zinadai hali yake si hali na bado kalazwa na anapumua kwa kutumia ventilator. Sijui kwanini hawatoi updates.
Haya tujiandae kisaikolojia.

Hapo makamu wa kwanza aliugua hatujui maendeleo yake.

Tusubiri huyo aloshika maiki kama mapafu yake ni kama ya mkurugenzi,tujiandae kutoa salam za pole.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Tetesi zinadai hali yake si hali na bado kalazwa na anapumua kwa kutumia ventilator. Sijui kwanini hawatoi updates.
Hivi Ahmed Salim yupo wapi?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom