Nimeanza nini?Umeanza tayari.
Nafikiri jamaa anamaanisha aeiouAEA ni nini?
We kweli kilaza,Kazi tu kushabikia ccm,huijui hata NDCHilo shirika linahusu nini
😳Mkuu ni classmate wako au sijui maana ya classmate?RIP class mate Prof Poncian Damian Gabagambi
Wanasomea magugu na sampuli za korona za bwana yuleSUA wanasomeaga nini kwani? Kwenda kwenye Mars na Jupiter?
Kenge?? Mbona umekapaisha sana?? Jane Lowassa angekuwa mjusi, acha kumfananisha kenge na vitu vya ajabuKama sisi jf Ni mamba. Kenyewe katakua KENGE
Kaka. Ni shida.Kweli wewe bora liende
Ova
Kwani rip yako itamuongezea au kumpunguzia nini marehemu? ShwainKwa tulikofikia,hatutoi R.I.P mpaka tujue alikuwa chama gani...
Kama ni cha Polepole, anisamehe tu!
Itakuwa unawenge maana hujaelewa jibu langu.Ameuliza shirika lina husu nini sio eneo lilipo.
Hahaha. Ukiambiwa hivyo, jua ngoma hiyooo.Siku zote magonjwa yanayo waua wakubwa na matajiri Ni siri kubwa na nzito. Ukidodosa saana wstakuambia kwa kiingereza kigumu. Ili kukutoa kwenye reli unaweza kuambiwa kafa kwa massivestressoariasis
Mkuu hujaona hapo shirika la maendeleo la Taifa.Mkuu hapa hujamsadia, badala yake umempa location ya shirika lilipo.