ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Naona umeng'ang'ana na 'jamaa yako' ukidhani labda itakuwa ni code.Una uhakika huyo 'jamaa yako' ana ubongo kichwani?[emoji41]
Sina uhakika wa mtu yeyote kuwa na ubongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeng'ang'ana na 'jamaa yako' ukidhani labda itakuwa ni code.Una uhakika huyo 'jamaa yako' ana ubongo kichwani?[emoji41]
Huna akili we kubali.hujui kazi za NDC .ukakimbilia kwenye locationViazi huko upinzani mko wengi, mtu akisema shirika la maendeleo kuna haja ya kufafanua zaidi kuwa hilo shirika linahusika na nini??
Umesema kweli Mkuu. Vyeti vizuri sana. Njoo interview, rubbish!!!!It should be Agricultural Economics and Agribusiness.
Yaani wewe unajifanya umepitia chuo kumbe hata long form ya course abbreviation hujui......halafu mnasema Magufuli hatoi ajira. Atoe ajira kwa pimbi?
Wadada wa SUA wanajuaChanzo cha kifo ni nini?. Apumzike kwa amani.
Hivi kwani hivi sasa ngoma inaua?Hahaha. Ukiambiwa hivyo, jua ngoma hiyooo.
aiseeee huu ni mfano halisi wa wengi wa wanachama mboga mboga kua ni watupu vichwani mwao angalia hawa watuHilo shirika linahusu nini
Hata basic manners kwenye chumba Cha interview mtu Hana.Umesema kweli Mkuu. Vyeti vizuri sana. Njoo interview, rubbish!!!!
Ccm inapenda watu wa aina hiiNimeshangaa sana huyu kilaza anajifanya ccm kindakindaki hata NDC hajui ni shirika la nn nimecheka sana
[emoji23][emoji23][emoji23]It should be Agricultural Economics and Agribusiness.
Yaani wewe unajifanya umepitia chuo kumbe hata long form ya course abbreviation hujui......halafu mnasema Magufuli hatoi ajira. Atoe ajira kwa pimbi?
Huwa shida ni nini? Au ni kujipendekeza kuliko pitiziliza?aiseeee huu ni mfano halisi wa wengi wa wanachama mboga mboga kua ni watupu vichwani mwao angalia hawa watu
Jane lowasa
barbarosa
magonjwa mtambuka
jingalao
lizabon et al
ona hapa eti kame jibu kwa kimalkia tujue kame enda shule kumbe si ajabu ulikua mfua vyupi vya watasha tu masaki ukoI think it was a matter of answering my question rather than speaking a lot of things here because it does not help anyone. I thought you're smart but now I know you're not.
Jane Lowasa Yuko kwenye kundi la kipekee. Kumuweka pamoja na Barbarosa kwenye kundi moja utakua unamvunjia heshima Barbarosaaiseeee huu ni mfano halisi wa wengi wa wanachama mboga mboga kua ni watupu vichwani mwao angalia hawa watu
Jane lowasa
barbarosa
magonjwa mtambuka
jingalao
lizabon et al
🤣🤣jamaniiIt should be Agricultural Economics and Agribusiness.
Yaani wewe unajifanya umepitia chuo kumbe hata long form ya course abbreviation hujui......halafu mnasema Magufuli hatoi ajira. Atoe ajira kwa pimbi?
Agriculture economics and agribusiness, SUA. Samahani kwa kudhani kila mtu angenielewa.
It should be Agricultural Economics and Agribusiness.
Yaani wewe unajifanya umepitia chuo kumbe hata long form ya course abbreviation hujui......halafu mnasema Magufuli hatoi ajira. Atoe ajira kwa pimbi?
Ndicho alichokuwa anauliza mwenzio kenge wewe! CCM kumejaa majitu majinga majinga!Viazi huko upinzani mko wengi, mtu akisema shirika la maendeleo kuna haja ya kufafanua zaidi kuwa hilo shirika linahusika na nini??
Kama hujui kiingereza andika lugha unayojua. "I like your so polity keep it up" sio kiingereza. Ungesema. ' I like your politeness, keep it up' umeona hiyo comma nilipoiweka?I like you your so polity keep it up................ Umeonyesha usomi wa hali ya juu.
I am not in the mood to argue with people who can not read and understand a phrase.Yaani tofauti ya hiyo A kubwa na ndogo ndio unatoa maneno makali kiasi hicho? Mbona yeye ameomba hadi samahani................... Wewe ndio masalia ya CCM yatakayoondolewa 28.10.2020 huyo unaemtaja hatoi ajira hata kutamka Entrepreneur hawezi na huu mkijinasibu ana PHD.