Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara

Alitumia Askari gani kuwaweka ndani hao waandishi wa habari,Kama alitumia Polisi tunaomba Sirro atupe barua iliyoamuru hao waandishi wawekwe ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…