Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera awaonya wasimamizi wa uchaguzi kuwa wataumbuka

Ilikuwa wapi,imekuwa wapi siku zotehizo.
 
Na kinachomkwamisha nini yeye kuweka hadharani hayo majina yakafahamika ni nini?

Suala la barua ni hatua ya mwisho, alitakiwa aweke majina hayo hadharani mapema na hao wasimamizi tutajuana nao huku field
 
Mahera atafungwa baada ya uchaguzi , ni kweli kwamba tumesema hatutalipa kisasi lakini watu duni kama Mahera tutawashughulikia bila huruma
Ebwana eeh, sio kila ahadi lazima itekelezwe. Kwa kusema hatutalipa visasi ilipaswa kuanzia hapo tuheshimiane. Lakini kwa vile dharau ndio kama zinaongezeka kwa sababu kuna ahadi ya kutolipa visasi, sasa badi maana VIPO.

Sii unaiona hata matukio ya polisi wanawatia vidole kina mama wanaogeshimika? NEC nao ndio hivyo? Wakurugenzi wanaweka barua kwenye draw mwezi! Hapana VISASI VIPO AND THEY WILL FACE THE CONSEQUENCES
 
Hii ya kuengue mawakala au kutowaapisha sui Jambo dogo, Kama tume ikijitoa ufaham juu ya hili uchaguzi unaweza kuishia hapa ,kwa sababu vyama vya upinzani havitakubali ,tume mkijichanganya kwenye hili mwafaaa.
 
kauli anaitoa less than 2 weeks kabla ya uchaguzi?

NEC ni wabakaji wakubwa wa haki na demokrasia yetu Watanzania.
 
Hii ya kuengue mawakala au kutowaapisha sui Jambo dogo ,Kama tume ikijitoa ufaham juu ya hili uchaguzi unaweza kuishia hapa ,kwa sababu vyama vya upinzani havitakubali ,tume mkijichanganya kwenye hili mwafaaa
Unafikiri mkurugenzi kama yule wa moro mjini atakubali kuwaapisha Mawakala wa upinzani?
 
Wagombea amabao hawajapewa barua haraka sana waonane na mahera na wale wasimamizi waliozishikilia barua zao WAACHISHWE KAZI MARA MOJA
 
Unafikiri mkurugenzi kama yule wa moro mjini atakubali kuwaapisha Mawakala wa upinzani?
Ndo hapo Sasa matatizo yatakapo anzia pamoja na Safari ndefu tulipo toka mpaka tulipo Mambo yanaweza kuaribika uvumilivu huwa unamwisho ngoja tuone
 
Huyo mbwa hadi radi ni stahili yake, me nawashangaa wanaotengeza radi za jero hawa, sijui hawajui waielekeze wapi.
 
Reactions: BAK
Endeleeni kufanya mchezo tu na huu uchaguzi, yale meno yaliyotoka nje wata ya adjust

mabalozi jana walikutana na nani?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…