Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera awaonya wasimamizi wa uchaguzi kuwa wataumbuka

Tunarudi kule kule kwamba kuna tatizo kubwa sana linalosababishwa na kutokuwa na katiba nzuri ambayo ingeweza kutupa tume huru ya uchaguzi.

Hii ina maana kwamba hii tume haina udhibiti kwa wasimamizi wa uchaguzi kwa maana ya hawa wakurugenzi wa halmashauri.

Wakurugenzi wa halmashauri wanakuwa na kiburi walichopewa na rais Magufuli kuhusiana na ile kauli yake kuwa anawateua ili wampe shukurani wakati wa uchaguzi kwa kuwapendelea wagombea wa ccm.

Wakurugenzi hao wanaona kuwa tume ya uchaguzi hawawezi kuwatisha wakati wote wanateuliwa na mtu yule yule. Hii tume inafaa huu uchaguzi ndio uwe wa mwisho kusimamia kwani hawana kabisa credibility ya kusimamia uchaguzi wowote wa maana.
 
Hili pumbavu kabisa kuwahi tokea kwenye tume, hivi Anasali wapi tuongee na viongozi wake wa kiroho juu ya unafiki wake juu ya wanadamu. Mambo yake ni aibu tupu kisa madaraka
Nilijinga sn ndiyo maana ni jeusi kama mkaa
 
Ramadhani kailima aliyekuwa mkurugenzi wa tume uchaguzi. Sasa hiv ni katibu sijui mambo y ndani?
Duh kweli ukiwa CCM vumilia tu. I think haka kajamaa tangu secondary kalikuaga CCM Halafu kalikua kalugaluga flani hivi kama kwenye hiyo picha tu. Kanda ziwa type kama sikosei.
Ngoja nikacheki picha yake ya sasa hivi.
Duh ndio amekua hivi 👇👇 siku hizi
Kweli siku hazigandi
 

Attachments

  • IMG_20201016_090457.jpg
    21.2 KB · Views: 2
Maongezi ya Ma ahera n'a wakurugenzi nia kama msingi anayotoa SHETANI na MKWEWE,
 
"Mafedha" aache braa braa , Robert Amsterdam kashafile jina lake.
 
Walikubaliana barua zifichwe hadi time za majeruhi ndio wazitoe,sababu muda wa kampeni utakuwa unayoyoma.so hii ni mbinu chafu tu.
 
Siyo huyu! Huyu alishatumbuliwa long time nadhani hivi sasa ni mkuu wa wilaya.
Mahera mwenyewe huyu hapa
Tripo9
 
Hallelujah !!! Ujumbe wako umeutoa vizuri Sana .
 
Mara nyingi tumekua tukisikia Mkurugenzi wa Uchaguzi amekua akitoa angalizo kwa wasimamizi wa uchaguzi kuwa makini katika utendaji wao wa kazi na kuhakikisha kila jambo linakwenda vyema kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi. Lakini kama mjuavyo na misemo ya kiswahili kua "Katika msafara wea Mamba na kenge hawakosekani" basi ndio kama hivyo si kila mwanafunzi darasani hufaulu mitihani yake vyema bali wapo wanaofeli.

Wasimamizi wa Uchaguzi ambao walizuia barua za hao wagombea kama wapo basi ni wachache sana na hakika naamini hayo ni makosa yao na si busara wala uungweana kumlaumu Mkurugenzi wa Uchaguzi kwa jambo hilo.
 
Tume haipo Huru kwa sababu hao wasimamizi wanawajibika kwa aliyewaajiri, akawapa magari,unafikiri watamsikiliza Mahera? Ndiyo maana Watanzania wazalendo walikuwa wanadai Tume Huru ya Uchaguzi.
 
Huyu jamaa anajiumbua kisenge, sasa hill tamko kalitoa sasa hivi ili iweje?

Je, baada Kukosa mipango na mikakati ndo kumesababisha alopoke hilo sasa hivi?

Je,haoni kuna umuhimu wa kuita vyombo vya habari afafanue hilo na aeleze wanagombea hao wanafidiwaje muda waliowapotezea?
Yaani anazidi kuitia mashaka tume ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…