Sijui inakuwaje kuwa NEC haiwezi hata kuwapa barua za wagombea walioshinda au kushindwa rufaa moja kwa moja kwa warufani au makatibu wakuu wa vyama vyao na badala yake wanazipeleka kule ambako figisu zilianzia.
Yaani Mahakama Kuu inatoa hukumu lakini anayetaarifiwa kuhusu hukumu hiyo ni Hakimu wa Wilaya ambae aliamua tofauti na Mahakama Kuu. Hili ni jambo lililpangwa na huenda ni msimamizi wa uchaguzi ndiye anayethibitisha majina ya watakaokuwa kwenye ballot paper!!
Nimeweka hapo mfano huo katika layman’s thinking level!!