Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alitakiwa kuwa campaign manager wa chama chake badala ya kuwa referee wa wote.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!...
Wawaache watu wamchague kiongozi wao wamtakaye mengine ni minority benefit fearAlitusomesha namba Sasa ni zamu yake awe mpole tu."kazi ya urais ni ngumu ni mateso"
Ardhi yetu na madini yetu yalishawekwa rehani na hao hao Ccm. Tena kwa mikataba mibovu ya miaka 100 ambayo haiwezi kuvunjwa. Hata Maghufuli hawezi kuvunja.zero kabisa, yani mnatetea mtu anaetaka kuweka rehani ardhi yetu? Unajidai upo deep kumbe umejaza manyoya tu kichwani. Mkiona hamuwezi kuisapoti CCM bora mkae kimya kuliko kutetea uovu.
Anahubiri maridhuano,uhuru na maendeleo kwa raia na sio vitisho na ubabe kwa raia.Lissu ajikite kwenye sera sio vibweka
Tume ya ubaguzi hiiMkurungenzi wa tume ya uchaguzi ameamua kuingia mwenyewe frontline ameona CCM imezidiwa
Zama Twitter, inasambaa sana kuleWanasheria chukueni taadhari,kuna haja ya Ku-note sehemu flani kwa msaada wa baadae ikibidi. Pia kama kuna mtu mwenye video crip ya huyu bwana kada wa ccm aliye jivika ngozi ya NEC tunaiomba hapa pls.
Unampangia Lissu cha kunadi kwa wananchi?Mkurugenzi hajaharibu chochote wala hajasema mumpigie kura nani, jukumu la NEC Ni kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha amani haitoweki kwahiyo lazima watoe tamko.
Wafanyakazi si watanzania pekew katika nchi hii,asigawe madini yetu eti kupandisha mshahara wa wafanyakazi
Ajikite ktk maswala yanayogusa mtanzania wote
Kwa maneno yake mwenyewe, huyu ni mkurugenzi wa NEC ama nayexni sehemu ya timu ya kampeni ya CCM? Hawa vikaragosi wa CCM ifike wakati wakutane na hukumu ya umma, ukiwachekea hawa, itakuwa ni sawa kabisa na kuwaachia nyani shamba la mahindi, ni bayana tu kuwa utaambulia mabuwa.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!
Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea madini yao
Ameyasema hayo alipokuwa anazungumza kumuandikia barua Tundu Lissu ili kutoa maelezo dhidi ya tuhuma za uongo anazotuhumiwa kuzitoa
Amesema Tundu Lissu amekuwa akitangaza matusi, tuhuma na kudanganya wafanyakazi badala ya kutangaza sera
==
YALIYOZUNGUMZWA KWENYE VIDEO YA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC
Kwa mamlaka ya kisheria Tume iliyonayo, tayari imemuandikia Barua Mh. Tundu Lissu ya kumuita katika Kamati ya Maadili ya Kitaifa ili aje kutoa maelezo na ushahidi wa kile alichokisema katika mkutano wake huko Musoma.
Kwa mara nyengine tena Tume inawasihi Wagombea wa Vyama vyote kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kulinda amani ya nchi yetu, katika kipindi cha kampeni kilichobaki kwa kujali muda wa kampeni, ratiba za kampeni na kuepuka matusi, sababu unatumia muda mwingi kutangaza matusi badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kutangaza tuhuma badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kuwadanganya Watanzania na wafanyakazi badala ya kutangaza sera.
Watanzania sasa hivi wanataka Afya iliyoimarika, Watanzania sasa hivi wanataka barabara nzuri, Watanzania sasa hivi wanataka miradi ya umeme, Watanzania sasa hivi wanataka elimu bora, Watanzania hawataki bra bra. Watanzania sasa hivi wanataka viongozi ambao watalinda madini yao, sio viongozi watakaokuja kuchukua madini yao na kupeleka kwa wageni nje.
Mwaka huu tutaelewana tuHayo anayoyaongea ndiyo kazi ya Tume? Mbona anaiweka Tume kwenye nafasi ya hatari sana? Yaani Tume inawalazimisha wagombea kitu cha kuongea? Watanzania wanajua wanachotaka kusikia na kila Chama kina ya kwake ya kujinadi kwa wananchi na Wananchi ndiyo wataamua.
Kwani madini yetu huwa yanauzwa wapi? Tume inahusika vipi na utekelezwaji wa Ilani za vyama? Mbona haijaongea kitu kuhusu aliyejisifu kuwanyima wananchi maendeleo kwa kutomchagua na kuahidi kuendelea kuwanyima kama hawatomchagua?
Mpaka hapo Tume imeshapoteza uhalali wake wa kusimamia uchaguzi huu na naiona kwamba kuwa ndiyo chanzo cha vurugu nchini.