Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Kwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?
Huyu ni Mkurugenzi wa Tume ya CCM, sio wa Tume ya Uchaguzi. Mara zote wakurugenzi hawa wanakuwa ni makada wa CCM na wanajaribu sana kuficha ukada wao hadharani lakini huyu wa sasa ameamua kujianika wazi.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!...
Sasa kwa kauli kama hii Mkurugenzi haoni kama anaonyesha anaegemea upande gani. Unapokuwa refa hata kama ina mapenzi na timu shindani basi jitahidi kutokuexpose mapenzi yako ili kubalansi mchezo.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!...
Robert Amsterdam ,atampatia reminder ya mwisho leo.Kwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?
kusema kwamba mgombea inabidi atetee rasilimali za nchi na awe mzalendo sio kua neutral? Kwamba kwa kusema hivyo basi wanampigia kampeni mgombea wa CCM? Ukiona mtu ana react kwenye hili ujue mgombea wake sio mzalendo wala mtetea rasilimali za nchi.Mimi sio mwana siasa hata kama Lissu atauza nchi sidhani NEC kama inahusika
Wangejaribu kua neutral
Unazungumzia CCM ipi, CCM ya zamani au CCM mpya - MATAGA!Zero kabisa, yani mnatetea mtu anaetaka kuweka rehani ardhi yetu? Unajidai upo deep kumbe umejaza manyoya tu kichwani. Mkiona hamuwezi kuisapoti CCM bora mkae kimya kuliko kutetea uovu.
Kwani sasa hivi madini yanachimbwa na wasukuma na kuuzwa soko la Kariakoo? Huyu jamaa amekula maharage ya wapi? Ninachojua mimi ni kwamba madini yanachimbwa na wageni na yanauzwa huko huko nje kwa wageni.Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje
We liache liwajaribu watanzaniaHuyu mkurugenzi mkuu wa NEC anaitisha vyombo vya habari na kusema eti watanzania wanataka mtu atakayelinda madini yao, atakayewajengea vituo vya afya, atakayewajengea mabarabara, atakayewaletea umeme. Kwani haya yanaihusu NEC?...
Hayo anayoyaongea ndiyo kazi ya Tume? Mbona anaiweka Tume kwenye nafasi ya hatari sana? Yaani Tume inawalazimisha wagombea kitu cha kuongea? Watanzania wanajua wanachotaka kusikia na kila Chama kina ya kwake ya kujinadi kwa wananchi na Wananchi ndiyo wataamua...