Tetesi: Mkurugezi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa kwenye Sekretarieti ya Madili ya Umma

Tetesi: Mkurugezi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa kwenye Sekretarieti ya Madili ya Umma

Tatizo ni nyie mnaolaumu kwa kuwa hamjui majukumu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa.

Wengi wetu humu mara kwa mara ni lawama tele kwa kujifanya ni mabingwa wa kila fani na uongozi, japo wakipewa ujumbe wa chama chochote hawawezi.


Majukumu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa ni kupokea mwenge katika mkoa wake na lingine ni kuongoza vikao vya ulinzi na usalama katika mkoa wake na mwisho ni kumpokea Rais anapotembelea Mkoa wake.

Mkuu wa Mkoa anapojiingiza katika shughuli za utendaji wa Jiji ni kuingilia kazi ambazo hazimhusu.
 
Wote kawateua Magufuli. Watajuana wenyewe wacha waparangane.
 
Mrisho gambo ni mkuzaa migogoro toka chuoni had I mtaani hyu Jamaa siasa za viti maalumu hazitamfikisha kokote
 
Tatizo ni nyie mnaolaumu kwa kuwa hamjui majukumu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa.

Wengi wetu humu mara kwa mara ni lawama tele kwa kujifanya ni mabingwa wa kila fani na uongozi, japo wakipewa ujumbe wa chama

chochote hawawezi.
In short mku wa mkoa hawana kazi zaidi ya ku intimidate raia na kulinda ccm after all hivo ni vyeo vya serial I ya kikoloni designated particularly to control their subjects


Inn
 
Ila ninachosikitika ni hii propaganda ya kutugawa watanzania kwa itikadi zetu.Itafika mahali wanachama wa CCM watakapokuja gundua itawaumiza sana.Bora tuanze sasa kujifikiria.Sisi ni watanzania.Hebu tukae tujikumbushe maneno aliyoyasema JKN kuhusu ubaguzi.Leo viongozi wa CCM wanabagua watanzania sababu ya itikadi,wanapandikiza chuki na visasi,mbegu hii ikishaota ni sawa na magugu maji.KUtoka ni vigumu.Ni wakati tuseme hapana,bado tunanafasi tusisubiri ikafika mahali tunajilaumu.Tuache kufurahia wanachama wa upinzani wakiumizwa au kuawa.Leo aliyeuawa humjui,kesho atakuwa mwanao,mkeo,mdogo wako nk nk.SIjui kama utaweza kuivumilia
 
K
Majukumu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa ni kupokea mwenge katika mkoa wake na lingine ni kuongoza vikao vya ulinzi na usalama katika mkoa wake na mwisho ni kumpokea Rais anapotembelea Mkoa wake.

Mkuu wa Mkoa anapojiingiza katika shughuli za utendaji wa Jiji ni kuingilia kazi ambazo hazimhusu.
Kama jiji linafanya mambo yasiyofaa na kulalamikiwa na kusimamiwa na madiwani wenye tamaa na visasi vya kulipiza visasi yeye asiingilie kati sio. Yeye ni mwakilishi wa Raisi katika mkoa. Lawama na vilio vilivyokua hapo stendi ndigo na maeneo mengine aache tu kwa kua jiji linasiamamiwa na chadema. Acha hizo.
 
na masaidia kidogo

Lumpenproletariat is the lowest level of the proletariat comprising unskilled workers,vagrants, and criminals and characterized by a lack of classidentification and solidarity-Karl max
Hawezi kukuelewa huyo mtafsirie kidogo?
 
Jana namuona AZAM TV anasema ameambiwa sector ya utalii "haijashuka sana" kutokana na ongezeko la VAT.Halafu anasema "haijashuka sana" wakati yeye kakalisha tu ofisini.Watu tulio field ndio tunaona jinsi VAT ilivyoathiri Utalii.

Huyu kuongozi wa Viti Maalumu hovyo sana huyu.Nini maana ya Decentralization by Delegation (D by D) kama RC anaingilia mpaka majukumu ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa?
 
Kati ya Mkuu wa mkoa na mkurugenzi wa jiji/mji nani yupo juu ya mwenzie?
 
Mrisho Gambo ana kiherehere utafikiri kuku anaetotoa
Shauri yako nawewe Mrisho Gambo atakutukana kama alivyo mtukana mwanasheria wa Korogwe, au hujui kwamba jamaa ana matusi mabaya sana
 
Habari wana jf
Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili
Kwa sababu gani?
Lkn Mrisho Gambo huko kwenye sekretarieti ya Maadili ya UMMA isha kuzoea
Alipokuwa DC Korogwe alikuwa anapelekwa kila siku kwa kutukana watu
Lkn Rais Magufuli ndiyo kampandisha kabisa cheo
Tume ya Mama JAJI Kaganda haina meno
Ni boya tu kwa wana CCM labda kama angeitwa wa upinzani
 
Habari wana jf
Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili

Mkurugenzi hawezi wewe? Hawezi kuthubutu. Labda sema Halmashauri yaani Baraza la Madiwani ndiyo linaweza kumshtaki RC.
 
Tatizo ni nyie mnaolaumu kwa kuwa hamjui majukumu na wajibu wa Mkuu wa Mkoa.

Wengi wetu humu mara kwa mara ni lawama tele kwa kujifanya ni mabingwa wa kila fani na uongozi, japo wakipewa ujumbe wa chama chochote hawawezi.

Katika arguments za mayor ametoa mpaka reference za sheria na kanuni jinsi maamuzi yanavyofanywa na taratibu zake zote. Mpaka Mh. Waziri Simbachawene amesema anachoona yeye zilizotumika kufanya maamuzi ni busara. Na kasema kuwa kama taratibu zilifuatwa ni sawa ukiangalia anakwepa kujibu. Na upande wa pili hakuna anayetoa reference yyoyote ya kisheria au kanuni inayo back huo uamuzi. Halafu hili la posho kwa nini iwe Arusha tu? hizi posho zinalipwa mikoa yote. Basi utoke muongozo wa nchi nzima. Uamuzi unaoongelewa ulifikiwa jiji likiwa chini ya chama kingine nahiyo haikuwa issue naulifuata taratibu zote mpaka kukubaliwa na waziri wa wakati ule. Ila sasa ni haramu. Sheria hutungwa kwa kuanzia katika busara. Mara nyingi kinyume na sheria huwa haina busara. Sheria nyingi za zamani ziliwekwa kufuatia maamuzi ya busara. Naikija busara mpya sheria hubadilishwa. Sijaiona hiyo busara mpya kwenye hili.
 
Amezowea kupelekwa huko. Hata alipo kuwa dc Korogwe alipelekwa huko kwa kuwaambia watu wana degree za kwenye....
 
Back
Top Bottom