Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
- Thread starter
- #61
Teh..tehWote kawateua Magufuli. Watajuana wenyewe wacha waparangane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh..tehWote kawateua Magufuli. Watajuana wenyewe wacha waparangane.
Katakuwa kamemtukana kwamba naye ana degree ya pichu?Habari wana jf
Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili
Ameshakunanililiiiiiu....... Mpaka ujue kiherere chake kiivoMrisho Gambo ana kiherehere utafikiri kuku anaetotoa
Una haraka mno, details zaidi tafadhali. Hata hujasema kwa nini nk.Habari wana jf
Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili
Inaonekana ushamvu......lia..... Pu..chi. Maana uwezi kumchukia mtu bureSimpendi Mimi Yule mtu
simjui hata mwanasiasa mmoja pande hizo ila kuleta sifa za tumbili ndio shida yangu.Kwa hiyo wewe unawashobokoea walilia posho? Wanasiasa wa kibongo wanatutia aibu na sijui hii aibu itaisha lini.
Hivi hiyo habari ni ya kweli?
K
Kama jiji linafanya mambo yasiyofaa na kulalamikiwa na kusimamiwa na madiwani wenye tamaa na visasi vya kulipiza visasi yeye asiingilie kati sio. Yeye ni mwakilishi wa Raisi katika mkoa. Lawama na vilio vilivyokua hapo stendi ndigo na maeneo mengine aache tu kwa kua jiji linasiamamiwa na chadema. Acha hizo.
Siku hizi unajitambua
Kama mteule wa mtukufu ni mtukufu pia andaa m7.Mrisho Gambo ana kiherehere utafikiri kuku anaetotoa
bora kufa umesimama,kuliko kuishi ukiwa umepiga magotiKama mteule wa mtukufu ni mtukufu pia andaa m7.
Gambo ni mheshimiwa?Acha umbea dhidi ya mchapa kazi na mtetezi wa wanyonge Mh Mrisho Gambo. Wananchi wa kawaida tunakuunga mkono mkuu wa mkoa.
Mwisho watasimamia pamoja....yetu machoWote kawateua Magufuli. Watajuana wenyewe wacha waparangane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dooh Sara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante kwa kunipa smileMrisho Gambo ana kiherehere utafikiri kuku anaetotoa
Muongo nj mkumbwa!Habari wana jf
Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili
Maskini. Hujui kuwa ni MKAZI wa Arusha!Huyo Gambo ni kama kalivagaa jiji kwa pupa.......
Si uende mahakamani ndugu, ukadadavue vifungu alivyovunja?Tatizo Mkuu wa Mkoa anatoa maagizo kinyume na sheria,taratibu za uendeshaji Jiji.