Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 642
Mbona jamaa yao riz moko katulia sana siku hizi? Konda na gambo sijui wamejula pilipili gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nn mnakua wakali mkikosolewa??Acha umbea dhidi ya mchapa kazi na mtetezi wa wanyonge Mh Mrisho Gambo. Wananchi wa kawaida tunakuunga mkono mkuu wa mkoa.
Acha umbea dhidi ya mchapa kazi na mtetezi wa wanyonge Mh Mrisho Gambo. Wananchi wa kawaida tunakuunga mkono mkuu wa mkoa.
Teh..tehKatakuwa kamemtukana kwamba naye ana degree ya pichu?