Pre GE2025 Mkutano Maalum wa Baraza la vyama vya siasa na wadau wa Demokrasia, January 4, 2024

Pre GE2025 Mkutano Maalum wa Baraza la vyama vya siasa na wadau wa Demokrasia, January 4, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi wa baraza la vyama vya siasa wote wapo hapa

1704267953243.png
 
Wanabodi,
Niko ndani ya ukumbi wa JNICC kwenye Mkutano huu muhimu Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024 View attachment 2855370

Mkuu Venus Star , asante sana kwa taarifa, hii sio ya kukosa!,

Ila to be honest, nilikuwa nina wasiwasi na baadhi promo za Mkutano huu, kama baadhi ya washiriki hawa
View attachment 2855372View attachment 2855373View attachment 2855374
View attachment 2855375 japo sijabaatika kumuona yeyote kati ya hao, ila Chadema wamewakilishwa na NKM Zanzibar, Kamanda Salum Mwalimu, ambaye yuko in full regalia ya combat.

Mkutano umeanza, fuatilia live Mubashara kupitia Wasafi
View: https://www.youtube.com/live/WMNZqOQv-jo?si=gbOqXz5I22MQuyka

Karibuni.

Paskali

Huo ni upuuzi kama upuuzi mwingine,tumeshindwa kumalizia mchakato wa katiba mpya na tumeshindwa kuunda tume huru ya uchaguzi alafu serikali inajifanya kuitisha mikutano ya Baraza la vyama Ili kitokee nini!
 
Huo ni upuuzi kama upuuzi mwingine,tumeshindwa kumalizia mchakato wa katiba mpya na tumeshindwa kuunda tume huru ya uchaguzi alafu serikali inajifanya kuitisha mikutano ya Baraza la vyama Ili kitokee nini!
Watu mbalimbali wanafuatilia uzi huu. Unaweza kutoa maoni yako yenye kujenga.
 
Mheshimiwa Jenista Mhagama. Akisisitiza kuwa maoni yote tanayotolewa yaweze kurekodiwa ili yaweze kufuatiliwa.
 
Mheshimiwa Jenista Mhagama. Akisisitiza kuwa maoni yote tanayotolewa yaweze kurekodiwa ili yaweze kufuatiliwa.
Mmmmm huyo ndio kigeugeu number 1....haaminiki hao wanafaidika na kayiba mbovu hii .....najua sana delays zao kusogeza miaka ipite.......ufahamu miaka mingapi tumeambiwa ? Ujuhaaa
 
Matokeo ya mkutano huu ni kutokana na mkutano uliopita wa vyama vya siasa. Kwahiyo mambo yanachukuliwa kwa uzito sana. Ni muhimu sasa kutoa maoni yanayojenga.
 
Huo ni upuuzi kama upuuzi mwingine,tumeshindwa kumalizia mchakato wa katiba mpya na tumeshindwa kuunda tume huru ya uchaguzi alafu serikali inajifanya kuitisha mikutano ya Baraza la vyama Ili kitokee nini!
Mkuu butron, please try to be positive, mchakato wa katiba, kimeundwa kikosi kazi, sheria ya kuunda Tume huru ya uchaguzi umeisha somwa kwa mara ya kwanza leo ndio tumeitwa kutoa maoni.
P
 
Back
Top Bottom