LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Bahati nzuri mmesha jua kile kitu mtu wenu ana penda. Msifa, hata kama kuna walio sema hapana mtazifukia ili mpend sifa afurahi. Kwa mtazamo wangu hakiimarishi chama bali mna kandamiza demokrasia kumfurahisha mtu.
Ndio maana ana chomekea ajenda ambao hazipo kwenye muhtasari wa kikao na mna kaa kimya.. This is very Bad!!!
Ndio maana ana chomekea ajenda ambao hazipo kwenye muhtasari wa kikao na mna kaa kimya.. This is very Bad!!!