Umeona hilo tu?Sasa matatizo gani?kwani hujamsikia akimfokea afanye haraka asije kumkatisha?
Ndio ni yeye mkuu vipi umechukizwa na hilo.Tulishajua itakua ni yeye
Wewe hukuliona?Umeona hilo tu?
Hongera zake mzee wa kupita bila kupingwaNdio ni yeye mkuu vipi umechukizwa na hilo.
Bado nashangaa lipumba, mrema wanatafuta nini kwenye mkutano wa ccm, mwenye majibu anisaidie
Mimi nahisi kila mmoja anajishtukia..anahisi akiweka HAPANA atajulikana tu, awamu hii sio mchezo Mkuu.Sio kwamba anapendwa mkuu.
Ni ujuha kukimbia fursa
Kwanini una roho mbaya kiasi hicho mkuu.Yani hapo inatakiwa lipigwe Bomu la Nagasaki na heroshima ndo wangeelewa hawapendwi.
Poleni walimu,poleni watumishi
Kwanini hutaki kuamini kuwa wote wamempa kwa hiyari yao.Mimi nahisi kila mmoja anajishtukia..anahisi akiweka HAPANA atajulikana tu, awamu hii sio mchezo Mkuu.
Naona waziri mkuu anagombezwa hapa.afanye haraka.
Kwanini hutaki kuamini kuwa wote wamempa kwa hiyari yao.
Muongo sana huyu katudanganya.f@ck! ndio kusema kachero aliyebobea alitudanganya kuwa ana watu wake kwenye lichama lake la zamani?