Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachonganishi hamkosekani...mbona msihoji umeme kuvuka bahari ukitokea Bara?.
Angewekewa figisu tuu hata kama angechukua angeishia kuchukua tuu wangempitisha huyo huyo Magu.Membe hana akili kabisa. Alitakiwa asijitoe CCM ili asikilizie leo wangesemaje .Naona wamemsamehe Kinana.Membe alitakiwa ajifanye kondoo aombe msamaha. Wamsamehe then hapo hapo anachukua form. Membe hajui kucheza Pele.
Hakuna nakuambia,ingekuwa hatarii.Wajumbe wengi hawampendi Magufuli ni vile wanamuogopa tu.Angewekewa figisu tuu hata kama angechukua angeishia kuchukua tuu wangempitisha huyo huyo Magu.
Ni sawa sawa na mtu ukagombee ubunge na mwenyeji wakati ujulikani kihivyo jimboni.Hata mimi naona ilitakiwa wajumbe wa Zanzibar peke yao ndo wawe wanachagua mgombea Zanzibar.
Huyu wa Songwe itakuwa katia nia,hivyo anaogopa kushindwa kura za maoni na aliekuwa mbunge wa hilo jimbo ambae karudi CCM.Huyu wa songwe anaharibu
Tutampangia kazi nyinginemakami hawezi toka kwa walioingia top 3 mkuu, huwezi kuwa na nyota mbili zinazowaka wakat mmoja! hio ni principle kubwa sana kwenye siasa!
Mimi binafsi nilisema Membe kachemka kafanya maamuzi kwa hasira na mihemko kakoseaMembe hana akili kabisa. Alitakiwa asijitoe CCM ili asikilizie leo wangesemaje .Naona wamemsamehe Kinana.Membe alitakiwa ajifanye kondoo aombe msamaha. Wamsamehe then hapo hapo anachukua form. Membe hajui kucheza Pele.
ONGEZA SAUTI"Zanzibar ni NANI"wanachofanya Dodoma ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwani mgombe si anajulikana au maana Zanzibar ni mbalawa uku bara ni magu sasa wanafanya nini
Bila kauli hii ccm,mgombea yoyote hatukupi kuraMheshimiwa Mwenyekiti, ahadi yangu kwenu endapo mtanichagua basi nitayaenzi Mapinduzi ya mwaka 1964 ya Zanzibar na nitadumisha Muungano wetu.
🤣 🤣 👏👏👏👏Viva Hussein Mwinyi...... Imeisha hiyoooo