Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Acha uchochezi.. Wazanzibari wote waliokidhi vigezo walipewa fursa kutia nia. Wazanzibari wenyewe wakachujana, wakaja na majina matano ya 'madereva' ambao waliona wanafaa kuongoza chombo.. Kwa kuwa chombo kiko kimoja na anayehitajika ni dereva mmoja, Dodoma inachofanya ni kuchukua 'yeyote' kati ya wale watano waliochaguliwa na Wazanzibari wenyewe!
 
Umekosa mvuto wakati wewe umevutika kuja kuchangia hapa!
Macho na masikio yote Dodoma wikiendi hii
wanachofanya Dodoma ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwani mgombe si anajulikana au maana Zanzibar ni mbalawa uku bara ni magu sasa wanafanya nini
 
Kuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.

Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.

Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.

Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.

Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361


Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.
 
Ainisha mambo matano tu abayo yamo kwenye ilani,lakini hayajatekelezwa
1. Uk.7 Ajira million walizoahidi
2. Uk.14 Hekta million 2 kilimo cha kisasa
3. Uk 24 mliahidi Meli 10 kubwa za uvuvi ili zilete ajira kwa vijana elfu 30?
4. Wajasirimiali wadogo kunufaika na DSE!!
5. Uk 31 Viwanda vitatoa 40% ya ajira zote!!

Niendelee mkuu?
 
Wazanzibari hata siwaelewi; yaani wana jeshi, mahakama, wimbo wa taifa lao, na bunge.

Lakini pamoja na mbwembwe zao zote hizo, Rais wao anachaguliwa Dodoma, Tanzania Bara, sijui wanakwama wapi?!.

Hii ni sawa na baba wa familia kuwa na nyumba yako, unaacha pesa ya matumizi kila siku, lakini chakula kinapikwa kwa jirani, na umeshazoea kwenda kula huko.
Jeshi lao linaitwaje?
 
Kuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.
Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.
Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.

Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.

Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361
Tuma salam hapo
johnthebaptist

Ova
 
Sawa Sawa
Mchakato Wa Mafiga Matatu Umeanza
 
Back
Top Bottom