Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Mwinyi ndiyo anastahili, anazo merits zote kuliko wale wengine.johnthebaptist,
Mnataka kumpa kiti Hussein mwinyi bora hata mgempa Jecha mnalisishana vyeo ili muibe Mali za watz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwinyi ndiyo anastahili, anazo merits zote kuliko wale wengine.johnthebaptist,
Mnataka kumpa kiti Hussein mwinyi bora hata mgempa Jecha mnalisishana vyeo ili muibe Mali za watz.
Hakuna vita hapo. Jeshi la nini?Hawana jeshi Zanzibar.
Au vile vikosi vya KMKM na JKU vinakuzingua!!!
Makame Mbarawa ndio rais ajae wa Zanzbar
#3 Rais1. HUSSEIN MWINYI
2. SHAMSI VUAI NAHODHA
3. KHALID SALUM MOHAMED
Makame katupwa nje.
#3 Rais
#1 Makamu wake
@MOTOCHINI mie nimeoa wewe! Acha kunifatafata maana sihitaji michepukoMpuuzi
Hussein Mwinyi anachukua tiketi hiyo1. HUSSEIN MWINYI
2. SHAMSI VUAI NAHODHA
3. KHALID SALUM MOHAMED
Makame katupwa nje.
Huo mkutano ungefanyika Zanzibar ungerizika?
Hussein Mwinyi anachukua tiketi hiyo
jiulize kwanini Nahodha amerejeshwa baada ya kutokuepo kwenye tano bora!Hussein Mwinyi anachukua tiketi hiyo
Kabisa MkuuJina la Rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar litakuwa geni kabisa. Watu hawatoamini watakachokisikia...
Hussein Mwinyi anachukua tiketi hiyo
Kwa nini hakuwepo kwenye tano Bora ?Huu uchaguzi magumashi kibao.jiulize kwanini Nahodha amerejeshwa baada ya kutokuepo kwenye tano bora!
Makame imekuwaje ?Walipiga kura ????.Naaaaah, Nahodha lazima achukue, nilimpa Makame ila kakosa basi tena.. Sasa Nahodha is better kuliko Mwinyi by far.