chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Magufuli usiingie mtego wa kurithisha vyeo, kataa Mwinyi.
Mpeni mjanja mjanja mwenzenu yeyote
Mpeni mjanja mjanja mwenzenu yeyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi toka mwanzo nampa Dr Khalid Salum Mohammed na ndiye YEYENaaaaah, Nahodha lazima achukue, nilimpa Makame ila kakosa basi tena.. Sasa Nahodha is better kuliko Mwinyi by far.
Leo Halmashauri Kuu ya CCM inapokea mapendekezo ya Kamati Kuu kuhusiana na waliopendekezwa kugombea Urais wa JMT na ule wa Zanzibar.
Kadhalika itapokelewa ripoti ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 5 iliyopita na kupitishwa ilani ya miaka 5 ijayo.
Mkutano uko mubashara TBC na Channel ten, ITV, Star tv na Upendo tv
Up dates:
Wajumbe wameshaketi ukumbini wakimsubiri mwenyekiti ambaye ataingia wakati wowote kuanzia sasa. Rais Magufuli ameingia ukumbini na wajumbe wote wanamshangilia kwa shangwe na vigelegele.
Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM amefungua kikao hiki na kutoa rai kuwa ianzwe ajeda kubwa ya Uchaguzi wa Mgombea Urais Zanzibar
Rais Magufuli pamoja na Wajumbe wa kikao wamekubaliana kuanza na ajenda ya Wagombea Urais Zanzibar. Mpaka sasa kuna jumla ya majina matano ya Ugombea Urais Zanzibar.
Dr Bashiru amewataka Wagombea watano waliopitishwa na kamati maalumu ya halmashauri kuu kuja mbele ili kusalimia alafu baada ya mchakato huo Mwenyekiti atataja majina matatu yaliyopita.
Rais Magufuli (Mwenyekiti wa CCM) ametoa idhini ya majina matatu yaliyopendekezwa kusomwa na katibu Mkuu wa chama Dkt. Bashiru ambaye amesema kuwa Wagombea watatu waliopita ni:
1. Dkt. Khalid Salum Mohamed.
2. Dkt. Hussein Ally Hassan Mwinyi.
3. Shamsi Vuai Nahodha.
Maendeleo hayana vyama
Mkutano umekosa mvuto hata watu wa media wanajua watz hawana muda na ndio maana wapo busy na uchebe vs shilole siyo Dodoma.
Kupata 3 Bora,ilipigwa kura ama ?Kapigwa chini 3 bora, ni Mwinyi, Nahodha na Khalid
Mbarawa ameshakatwaMakame Mbarawa ndio rais ajae wa Zanzbar
Umakamu wa Zanzibar hauna dili kihivyo, bora abaki uwaziri tz, asubiri 2025Mimi toka mwanzo nampa Dr Khalid Salum Mohammed na ndiye YEYE
Mwinyi Makamu wake
Tusubiri tuone ,nime bett hivi
Why Mbarawa kura hazijatosha au kakatwa ?Mbarawa is out!
I stand with Mwinyi...
😂😂😂Umekosa mvuto wakati wewe umevutika kuja kuchangia hapa!
Macho na masikio yote Dodoma wikiendi hii
Makame imekuwaje ?Walipiga kura ????.
Umeshafeli!Makame Mbarawa ndio rais ajae wa Zanzbar
Natamani kujua mchakato umekuaje.Wamepiga kura ili kupata tatu bora ama ?Yaani sijui kikombe kimempita vibaya yaani
Natamani kujua mchakato umekuaje.Wamepiga kura ili kupata tatu bora ama ?
Naaaaah, Nahodha lazima achukue, nilimpa Makame ila kakosa basi tena.. Sasa Nahodha is better kuliko Mwinyi by far.
Hii serikali ya magufuli ni ya kitapeli sana, imesheheni WAHALIFU LUKUKI. Kuna haja gani ya kuilipisha maiti?Kuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.
Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.
Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.
Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.
Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361
Uko live.....Natamani kujua mchakato umekuaje.Wamepiga kura ili kupata tatu bora ama ?