Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Rais hachaguliwi Dodoma, Rais atachaguliwa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar, Dodoma linachaguliwa jina la Mgombea Urais wa ZANZIBAR pamoja na TANZANIA kupitia chama cha Mapinduzi sababu Dodoma ndipo yalipo Makao Makuu ya Chama.