Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
wanachofanya Dodoma ni matumizi mabaya ya pesa za umma kwani mgombe si anajulikana au maana Zanzibar ni mbalawa uku bara ni magu sasa wanafanya niniUmekosa mvuto wakati wewe umevutika kuja kuchangia hapa!
Macho na masikio yote Dodoma wikiendi hii
Subiri wakati wako wakuinama na kudeki barabara!Mwaka huu hata hakuna amsha amsha kama 2015
Kuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.
Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.
Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.
Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.
Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361
Amsha amsha zitakuwepo 2025.Mwaka huu hata hakuna amsha amsha kama 2015
Mkuu vipi mbona umepaniki? Ukiniona wapi nadeki barabaraSubiri wakati wako wakuinama na kudeki barabara!
YeahAmsha amsha zitakuwepo 2025.
Hata biashara ya siasa hakuna mwakanhuu..2015 lipumba na Dr slaaa walipiga Sana pesaMwaka huu hata hakuna amsha amsha kama 2015
Mwaka huu hata hakuna amsha amsha kama 2015
Mzee Mwinyi hajawahi kuwa mwizi hata kidogo. Hussein atatoa wapi tabia hiyo. Tuwe wakweli wanazengoMnataka kumpa kiti Hussein mwinyi bora hata mgempa Jecha mnalisishana vyeo ili muibe Mali za watz.
Anachukulia wapi wakati mkutano ndio anapitishwa mgombea?Subiri, Membe anachukua fomu next week.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hata biashara ya siasa hakuna mwakanhuu..2015 lipumba na Dr slaaa walipiga Sana pesa
1. Uk.7 Ajira million walizoahidiAinisha mambo matano tu abayo yamo kwenye ilani,lakini hayajatekelezwa
Bwashee uchaguzi ni October!
Jeshi lao linaitwaje?Wazanzibari hata siwaelewi; yaani wana jeshi, mahakama, wimbo wa taifa lao, na bunge.
Lakini pamoja na mbwembwe zao zote hizo, Rais wao anachaguliwa Dodoma, Tanzania Bara, sijui wanakwama wapi?!.
Hii ni sawa na baba wa familia kuwa na nyumba yako, unaacha pesa ya matumizi kila siku, lakini chakula kinapikwa kwa jirani, na umeshazoea kwenda kula huko.
Kweli anazinguliwa na JKU na KMKMHawana jeshi Zanzibar.
Au vile vikosi vya KMKM na JKU vinakuzingua!!!
Tuma salam hapoKuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.
Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.
Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.
Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.
Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361
Sisi ni mabeberu wa Zanzibar