Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Ccm ni Mali binafsi mmiliki wake ndie mwenye maamuzi nani agombee Nani asigombee,
 
Karume Baba, Karume Mtoto, Mwinyi baba na sasa Mwinyi mtoto. Twende nao, nitaulizwa " Mbona tulikua na Bush Baba halafu Bush Mtoto?" nitajibu nini mimi. Nasikia jamaa hata JKT alikwepa, sijui wana mpakazia. Sasa tusilalamike sana labda Maalimatapata upenyo ni wazanzibar kuamua, au kuna jecha mwingine kajificha mahala?
 
Wazanzibari hata siwaelewi; yaani wana jeshi, mahakama, wimbo wa taifa lao, na bunge.

Lakini pamoja na mbwembwe zao zote hizo, Rais wao anachaguliwa Dodoma, Tanzania Bara, sijui wanakwama wapi?!.

Hii ni sawa na baba wa familia kuwa na nyumba yako, unaacha pesa ya matumizi kila siku, lakini chakula kinapikwa kwa jirani, na umeshazoea kwenda kula huko.
Rais wao anachaguliwa zanzibar, huko dodoma hao ni ccm ndio wamekaa huko kuchaguana, hao ni ccm, sio wazanzibari
 
Oh ho wamenuna CCM Zanzibar , maskani manung'uniko- oh Usultani siyo lazima mwarabu.
 
Vuai alikuwa kama raia tu kwa miaka 10 iliyopita. Siasa usipotokea kwenye vyombo vya habari, ndio basi tena. Hakuwa na cheo cha kumfanya aonekane mara kwa mara. Hata kuingia kwenye 3 bora sikutegemea.
Wamemuweka kwenye 3 bora kama rubber stamp tu ya Dr Mwinyi.
 
Wanaenda kumpeleka raisi ambae ata siasa Zanzibar ajafanya miaka yote Mwinyi siasa kafanyia bara.

Huyu alitakiwa akwate kuleta usawa akina Nahodha awajulikani bara kama yeye; kuna haja ya kubadili huu mchakato mbeleni kama mambo yenyewe ndio hayo.

Haya mambo ya nepotism sio demokrasia.
Afanye siasa gani zaidi wakati amekuwa mbunge wa Jimbo la kwahani Unguja kwa vipindi vitatu mfululizo 2005-2020, amekuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa na mjumbe wa kamati kuu ya CCM kutokea Zanzibar kwa muda mrefu sifa hizo zinatosha kuijua siasa ya Zanzibar
 
Karume Baba, Karume Mtoto, Mwinyi baba na sasa Mwinyi mtoto. Twende nao, nitaulizwa " Mbona tulikua na Bush Baba halafu Bush Mtoto?" nitajibu nini mimi. Nasikia jamaa hata JKT alikwepa, sijui wana mpakazia. Sasa tusilalamike sana labda Maalimatapata upenyo ni wazanzibar kuamua, au kuna jecha mwingine kajificha mahala?

Mbona hushangai Mwenyezi Mungu kuwapendelea wana waISRAEL?!!!

Itakuwa sisi BINADAMU.....

Yaani sijui siasa zenu za kiliberali zenye WISHFUL THINKING ziliasisiwa pale ACUTE WARD NO.14 HOSPITALI YA MIREMBE JIJI LA DODOMA?!!!

Imeisha iyoooo twende na Dr Mwinyi.
 
Kwa sababu hiyo hiyo, ndio maana Mbarawa hakuingia kwenye 3 bora. Kama angeingia kwenye 3 bora, angekuwa tishio kwa chagua lao (Mwinyi). Kura ingeweza kulalia upande wowote.
Wamemuweka kwenye 3 bora kama rubber stamp tu ya Dr Mwinyi.
 
Mbona hushangai Mwenyezi Mungu kuwapendelea wana waISRAEL?!!!

Itakuwa sisi BINADAMU.....

Yaani sijui siasa zenu za kiliberali zenye WISHFUL THINKING ziliasisiwa pale ACUTE WARD NO.14 HOSPITALI YA MIREMBE JIJI LA DODOMA?!!!

Imeisha iyoooo twende na Dr Mwinyi.


Mungu hapendelei kiumbe yeyote , hayo ni makosa
 
Back
Top Bottom