Ikiwa wanamuunga mkono kama watumishi Mungu Ni jambo jema, lkn kama wana sababu zao binafsi wao wenyewe ndo watazikweza nafsi zao.Karibu.
Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.
Up dates;
Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5
Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Mpumbavu ni wewe unayeyauonea haya ukweli wa mambo, Mazuri yakifanywa na yeyote hata ni Chama kipya kitakachoingia madarakani, ifike mahali Kwanza tuyapende yanayofanywa na kusimamiwa vizuri na viongozi wetu na kutoka kila pahala, yakifanywa na mpinzani tuyakubali na kujivunia pia
Tujivunge Kwa lipi kuyaongelea haya mapinduzi makubwa kabisa yaliyofanyika Chini ya usimamizi wa Raisi wetu? Tujivunge kuipenda nchi yetu na vitu vinavyofanyika Kwa sababu Tu kafanya mtu asiyependwa na wapinzani siyo,
Huo ndio upumbavu sasa, tutayapenda na kujivunia yote atakayokuja kuyafanya mh Lisu Pindi Mungu atakapoona vema awe Raisi wetu
Acha Ujinga kuandika Ujinga
Hakuna askofu, kimaadili ni jambo la ovyo ndio maana akatumwa Padri akawakilishe like diplomacy step tu ili kutovunja daraja.Hivi na Kanisa katoliki wamemtuma Askofu mmojawapo kuhudhuria kikao hicho?
Ndio yale mambo aliyosema Kigogo2014 kuhusu viongozi wa dini kulipwa kufanya MAPAMBIO.Karibu.
Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.
Up dates;
Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5
Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Mkuu, kama lipo Hilo la haki, waulizwe wao, Ili waseme ni lini watafanya!! Sizijui hizo ratiba zao mimiMkuu ili kunogesha hayo maelezo yako mazuri, hilo kongamano lilikuwa la amani, je lini hao viongozi wa dini watafanya la haki? Uzuri wa kongamano la haki litajumuisha na amani humo humo ndani, ila la amani sio lazima lilelete haki.
Mkuu, kama lipo Hilo la haki, waulizwe wao, Ili waseme ni lini watafanya!! Sizijui hizo ratiba zao mimi
Sijuwi wamekula maharage ya wapi!?Ukweli viongozi wa dini wamefanya jambo la hovyo sana . Kwanza hawakupaswa kuwa hivyo
Waumini tumekusikia Tundu Lissu. Tutayakumbuka maneno yako Oktoba 28!Watawala wote walio piga marufuku Dini waliona mbali sana, na ukiangalia hata kwenye Ukomonist unaamini Dini ni biashara.
Kwa tunayo yaona kwa kweli nakubaliana nao kwa 100% kwamba dini ni biashara, na walio wahi kupiga marufuku Dini walikiwa sahihi kabisa kabisa.
Kwa kuwaunga mkono nimeamua kuachana na kwenda kanisani na sadaka nitawapatia ombaomba barabarani au nitapeleka kwenye vituo vya watoto yatima au Hospialini.
Sitakanyaga kanisani kamwe
Ni kweli dini inalemaza na kudumaza ajili. Mimi imenidumaza na kunilemaza akili mpaka Sasa nna gari mbili, nna nyumba na shamba, natoa sadaka zamani ilikuwa buku buku Sasa hivi nakaribia kutoa mamilioni. Siumwiumwi ovyo ovyo pamoja na pilika zote nnazofanya na masahibu nnayopitia. Aisee kweli dini imenidumazaWatawala wote walio piga marufuku Dini waliona mbali sana, na ukiangalia hata kwenye Ukomonist unaamini Dini ni biashara.
Kwa tunayo yaona kwa kweli nakubaliana nao kwa 100% kwamba dini ni biashara, na walio wahi kupiga marufuku Dini walikiwa sahihi kabisa kabisa.
Kwa kuwaunga mkono nimeamua kuachana na kwenda kanisani na sadaka nitawapatia ombaomba barabarani au nitapeleka kwenye vituo vya watoto yatima au Hospialini.
Sitakanyaga kanisani kamwe
Wapuuzwe na nani sasa? Unadhani waumini watakusikiliza wewe kuliko kiongozi wao? Bora muwashawishi wawaunge mkono kuliko hizo porojo.
Bakwata ni matapeli?
Acha hizo bwashee!