Mpumbavu ni wewe unayeyauonea haya ukweli wa mambo, Mazuri yakifanywa na yeyote hata ni Chama kipya kitakachoingia madarakani, ifike mahali Kwanza tuyapende yanayofanywa na kusimamiwa vizuri na viongozi wetu na kutoka kila pahala, yakifanywa na mpinzani tuyakubali na kujivunia pia
Tujivunge Kwa lipi kuyaongelea haya mapinduzi makubwa kabisa yaliyofanyika Chini ya usimamizi wa Raisi wetu? Tujivunge kuipenda nchi yetu na vitu vinavyofanyika Kwa sababu Tu kafanya mtu asiyependwa na wapinzani siyo,
Huo ndio upumbavu sasa, tutayapenda na kujivunia yote atakayokuja kuyafanya mh Lisu Pindi Mungu atakapoona vema awe Raisi wetu
Acha Ujinga kuandika Ujinga