HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Mimi ni muumini kweli ila sikuwahi kuwa hata na mazoea na viongozi wa dini yangu. Kwangu mimi sihitaji kuongozwa kwakuwa najua kusoma yaliyoteremshwa na Mungu ninayemuamini.
Kwangu mimi mtu wa kumheshimu ni mwalimu wangu ambaye sio kiongozi ila wengi ni washikaji zangu tu.
Siwezi kuongozwa na kundi la watu kama Bakwata, aisee hata unishikie kisu siwezi kuitambua Bakwata hata Rais aniambie nitamke hadharani nitambishia hadharani kabisa.
Nawaonea huruma sana wanaohangaika na watu wanaitwa viongozi wa dini, wewe kama muumini nenda zako kaswali achana na hawa watu, wakikuzuia kuswali kwenye majengo yao piga swala nyumbani kwako Mungu yupo kila kona. Wakitishia kususa maziko furahia kabisa washikaji watakuja kukuzika kwani Mungu hana habari na mahubiri yao kwenye mazishi yako kikubwa matendo yako tu.
Kwangu mimi mtu wa kumheshimu ni mwalimu wangu ambaye sio kiongozi ila wengi ni washikaji zangu tu.
Siwezi kuongozwa na kundi la watu kama Bakwata, aisee hata unishikie kisu siwezi kuitambua Bakwata hata Rais aniambie nitamke hadharani nitambishia hadharani kabisa.
Nawaonea huruma sana wanaohangaika na watu wanaitwa viongozi wa dini, wewe kama muumini nenda zako kaswali achana na hawa watu, wakikuzuia kuswali kwenye majengo yao piga swala nyumbani kwako Mungu yupo kila kona. Wakitishia kususa maziko furahia kabisa washikaji watakuja kukuzika kwani Mungu hana habari na mahubiri yao kwenye mazishi yako kikubwa matendo yako tu.