Mkuu wa CDC Afrika abaguliwa na wazungu pamoja na kujifanya anawapenda sana

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200


Ni Dk Ogwell.

Huyo mwamba huwa anajifanya mpenda demokrasia na huwahusudu sana wazungu na kuwaponda Viongozi wa ki Afrika.

Sasa juzi Wajerumani wamemuonyesha yeye siyo mwenzao pamoja na kuwa na Visa na matokeo yake ameishia kujibaraguza kuisifia Afrika kwa utu wake.
 
Afrika inahitaji linkages yake kujikwamua..

Wivu wa wazungu ndio unafanya wanabagua,hilo haliwezi kuwasaidia Sana ndio kwanza covid imeanza kuwatandika upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…