Suzy Elias JF-Expert Member Joined Nov 9, 2021 Posts 1,067 Reaction score 6,200 Oct 17, 2022 #1 Ni Dk Ogwell. Huyo mwamba huwa anajifanya mpenda demokrasia na huwahusudu sana wazungu na kuwaponda Viongozi wa ki Afrika. Sasa juzi Wajerumani wamemuonyesha yeye siyo mwenzao pamoja na kuwa na Visa na matokeo yake ameishia kujibaraguza kuisifia Afrika kwa utu wake.
Ni Dk Ogwell. Huyo mwamba huwa anajifanya mpenda demokrasia na huwahusudu sana wazungu na kuwaponda Viongozi wa ki Afrika. Sasa juzi Wajerumani wamemuonyesha yeye siyo mwenzao pamoja na kuwa na Visa na matokeo yake ameishia kujibaraguza kuisifia Afrika kwa utu wake.
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Oct 17, 2022 #2 Aione Erythrocyte
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 47,274 Reaction score 126,778 Oct 17, 2022 #3 Suzy Elias said: Sasa juzi Wajerumani wamemuonyesha yeye siyo mwenzao pamoja na kuwa na Visa na matokeo yake ameishia kujibaraguza kuisifia Afrika kwa utu wake. Click to expand... Wajerumani walimfanyaje?
Suzy Elias said: Sasa juzi Wajerumani wamemuonyesha yeye siyo mwenzao pamoja na kuwa na Visa na matokeo yake ameishia kujibaraguza kuisifia Afrika kwa utu wake. Click to expand... Wajerumani walimfanyaje?
Aulu Member Joined Sep 23, 2022 Posts 87 Reaction score 240 Oct 17, 2022 #4 Rubbish! Umbea mpaka unashindwa kutoa taarifa vzuri.
The Sunk Cost Fallacy JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 19,582 Reaction score 14,167 Oct 17, 2022 #5 Afrika inahitaji linkages yake kujikwamua.. Wivu wa wazungu ndio unafanya wanabagua,hilo haliwezi kuwasaidia Sana ndio kwanza covid imeanza kuwatandika upya.
Afrika inahitaji linkages yake kujikwamua.. Wivu wa wazungu ndio unafanya wanabagua,hilo haliwezi kuwasaidia Sana ndio kwanza covid imeanza kuwatandika upya.