Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Mkuu kwakwel hii wala sio AI...Sorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
Ni kweli cheki baada y ndege kufanya yake kwa m23. Kisha wakakaguliwa walio kufa.Ni ya kweli hii au ndio AI????
Hii sio video halisi ni mambo ya AIKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hahahah!! Cheki ya pili baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.nimeweka hapoHii sio video halisi ni mambo ya AI
Hii ni GCI za game. Wadanganye watotoKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Iyo ya pili ni wenyewe ila iyo ya mwanz hpn bhn ni AlHahahah!! Cheki ya pili baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.nimeweka hapo
KAZI ni kipimo cha UTU
Mbona hii ni A10 wathdog attack plane, ya USA sidhani kama SA wana aina hii ya mult role attack aircraft.. hii itakua sio DRC mkuu check with your sourceKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Ila vita ni mbaya sana wakuu 🤔🤔😥Sorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
Mzee hili ni game, Tena hili itakuwa Arma 3...Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Sauzi wanayo iyo!! Sema jamaa anakataa tu si toe voice note zake wanaweza kumjua kupia voice. Alimtumia mjeshi w Tanganyika waliwai kusoma kozi moja.Mbona hii ni A10 wathdog attack plane, ya USA sidhani kama SA wana aina hii ya mult role attack aircraft.. hii itakua sio DRC mkuu check with your source
Hapana, kule DRC Tanzania, Malawi, Kenya na South wamepeleka Battalion Moja Moja Tena azijakamilika ki muundo wa kivita.Nchi tatu zinashindwa na kikosi cha wanamgambo?
Hii si aibu?
Baada ya show!!Mzee hili ni game, Tena hili itakuwa Arma 3...
DuuuhSorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
KatuniKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Sare za waliokufa ni za wanajeshi wa CongoSorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hii ni kweli, hawa ni askari wa M23 waliouawa, lakini hapo juu hio ndege ni game linaitwa Arma 3.Baada ya show!!
Na hii itakua game gani?
KAZI ni kipimo cha UTU