Kwa wanaoita hayo mapigano "show" wajue Tanzania ilikaa njaa miaka mitano baada ya 1979, tukapewa unga wa yanga na USA, petroli tulikuwa tunanunua kwa kibali na kwa foleni, na sabuni na sukari ni kwenye duka la kaya.Baada ya show!!
Umeamua kutuwekea video game 🤣🤣, hivi una umri gani?Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Shambulizi lote hilo la ndege alafu nyasi hazijaungua bali zinaoneshwa maiti tu tena zenye majeraha usoni na mikononi.?🤣 Hivi unajua shambulio la bomu kazi yake ni kutawanya viungo?Hii
Ni kweli cheki baada y ndege kufanya yake kwa m23. Kisha wakakaguliwa walio kufa.
Ipo chini hapo.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hao walokufa mbona ni ngozi nyeupe na wamevaa trainers chini? Ile video game uliyoweka ni kama utitiri wa wanajeshi ulilipuliwa kwa wakati mmoja tungeona maiti deformed kabisa, umeunganisha kujaribu kuaminisha watu but it's a hoax.Baada ya show!!
Na hii itakua game gani?
KAZI ni kipimo cha UTU
Source = believe meSource ya hii video?
Kumbe South Africa wana A-10 warthog? Mana ndio imeonekana ikinya hapoKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hao M23 ni kwamba wanujuzi wa kupigana sana au silaha zao nzuri sana, wana ujuzi sana au ni wengi sana?
Nashangaa Goma yenyewe hata hailingani na Kibaha, sasa hao M23 inakuwaje wana nguvu sana kuliko hata jeshi la Kongo lenyewe? Au Jeshi la Kongo lenyewe linaaskari pungufu, au hawana silaha?
Iweje Nchi kubwa na utajiri kama DRC inashindwa kulinda mipaka ya nchi yake mpaka isaidiwe na nchi jirani? na hizo nchi jirani kama Tanzania, Malawi, Kenya, na South Afrika wanalinda nini ikiwa hao M23 wanaweza kuwashambulia na kuwaondoa kwenye post zao?
M23 wanaogopwa sana au mataifa hayo yanlinda kitu kingine huko Goma?
Hao ni FARDC, angalia uniform na usikilize wanaoongea au nikutumie video ndefu yatukio ndio uamini .Hahahah!! Cheki ya pili baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.nimeweka hapo
KAZI ni kipimo cha UTU
Uongo...Hii
Ni kweli cheki baada y ndege kufanya yake kwa m23. Kisha wakakaguliwa walio kufa.
Ipo chini hapo.
KAZI ni kipimo cha UTU
Sasa DRC wanashindwaje kuwadhibiti M23, mpaka wanasaidiwa na mataifa manne kuwadhibiti hao hao?View attachment 3219470🤣🤣🤣🤣🤣👆🤣🤣🤣🤣🤣
Wanamjua vizuri anaewafadhili amawanamuona Kagame tuDawa kudili na anaewafadhili tu
Shida yangu kwenye hii video ni uhalisia wake. Je, sio video game hii? Kama mwendo ndio huo mbona vita ingeisha ndani ya masaa 24!Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Jeshi la Congo kagame ameshapandikiza watu wengi. Ni jeshi lenye watu wanaouza mbinu sana. Ni sawa na Nigeria na Boko Haram..Hao M23 ni kwamba wanujuzi wa kupigana sana au silaha zao nzuri sana, wana ujuzi sana au ni wengi sana?
Nashangaa Goma yenyewe hata hailingani na Kibaha, sasa hao M23 inakuwaje wana nguvu sana kuliko hata jeshi la Kongo lenyewe? Au Jeshi la Kongo lenyewe linaaskari pungufu, au hawana silaha?
Iweje Nchi kubwa na utajiri kama DRC inashindwa kulinda mipaka ya nchi yake mpaka isaidiwe na nchi jirani? na hizo nchi jirani kama Tanzania, Malawi, Kenya, na South Afrika wanalinda nini ikiwa hao M23 wanaweza kuwashambulia na kuwaondoa kwenye post zao?
M23 wanaogopwa sana au mataifa hayo yanlinda kitu kingine huko Goma?
IDF vs Hizbullah vs UNIFILSasa Amani wanalinda wapi ikiwa hao M23 wanaweza kupigana hadi kuchukua Goma? Au sielewi nini maana ya kulinda Amani?
Yani walinda Amani mpo halafu watu wanapigana?
Sauzi wanayo iyo!! Sema jamaa anakataa tu si toe voice note zake wanaweza kumjua kupia voice. Alimtumia mjeshi w Tanganyika waliwai kusoma kozi moja.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hawana na hawajawai kuwa nayo ... hata nchi tu za umoja wa NATO ni Uk and Germany ndio wanazitumia tena chache...hiyo video ya jamaa ni from gameKumbe South Africa wana A-10 warthog? Mana ndio imeonekana ikinya hapo
Sasa ipo video ya baada ya ndege vita kufanya maafa haya video ni yakuogopesha MNO. Naogopa ni hatari kuliko hatari yenyewe wamesagika.
KAZI ni kipimo cha UTU
Inatisha kama sio video game.Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Aisee ni hatari sana, Kumbe ndo maana Kagame Sukari imepandaKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU